Simba Bora ilifika robo fainali lakini Simba mbovu itafika nusu fainali

Simba Bora ilifika robo fainali lakini Simba mbovu itafika nusu fainali

pakaywatek

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2014
Posts
4,660
Reaction score
6,282
Kuna watu wanadai Simba ni mbovu Simba siyo mbovu ni mfumo wa uchezaji ndio umebadilika. Ingawa kosa hili la kubadili mfumo ameuleta Mo simlaumu kwa kuwa nae apenda Simba yenye mafanikio ingawa ulikua siyo mda mwafaka kuleta kocha katikati ya msimu wakati timu ilikua nzuri.

Yote kwa yote hii Simba mnayoiona Leo tena wengi wakidai mbovu itafika nusu fainali ya CAF.
 
Kuna watu wanadai simba ni mbovu Simba siyo mbovu ni mfumo wa uchezaji ndio umebadilika. Ingawa kosa hili la kubadili mfumo ameuleta mo simlaumu kwa kuwa nae apenda Simba yenye mafanikio ingawa ulikua siyo mda mwafaka kuleta kocha katikati ya msimu wakati timu ilikua nzuri.

Yote kwa yote hii Simba mnayoiona Leo tena wengi wakidai mbovu itafika nusu fainali ya CAF.
Huu ni ukweli mchungu sana
 
Raja anapasuka kwao,simba ndio bingwa wa afrika msimu huu na wachezaji wafuatao hatutakuwa nao na makocha pia,,,mchezaji john boko kuna tetesi arsenal inamuhitaji,kibu anahitajika na psg,beleke anahitajika na Marseille,kijana wetu onyango na inonga baka real madrid washatuma ofa mzuri tu na Mohamed hussein na kapombe fc porto inawahitaji,mzee mgunda a.k.a jitu la miraba minne anatakiwa na leeds united hii ndio simba
 
Simba walifanya kosa kubwa mnoo kubadili kocha katikati ya msimu tena kocha aliekuwepo gari Ilikua ishawaka, pesa ya kuleta kocha mpya wangeenda kusaka wachezaji wa maana kisha wangemkabidhi mgosi Mgunda
 
Raja anapasuka kwao,simba ndio bingwa wa afrika msimu huu na wachezaji wafuatao hatutakuwa nao na makocha pia,,,mchezaji john boko kuna tetesi arsenal inamuhitaji,kibu anahitajika na psg,beleke anahitajika na Marseille,kijana wetu onyango na inonga baka real madrid washatuma ofa mzuri tu na Mohamed hussein na kapombe fc porto inawahitaji,mzee mgunda a.k.a jitu la miraba minne anatakiwa na leeds united hii ndio simba
Una hoja na usikilizwe
 
Una hoja na usikilizwe
Sisi ndio simba zamani level zetu zilikuwa ni al ahly,mamelody,esperence,waydad na raja ila kwasasa tumeshawapita ubora kwahiyo nilichokuambia kuhusu hao mastar wetu kuhitajika na vilabu vikubwa naomba uamini
 
Timu mbovu ziko kombe la losers . Ukweli lazima usemwe , uto wangekuwa huku klabu bingwa wasingepata point hata moja ktk kundi lolote lile ambalo wangeangukia
 
Ndomana kuna watu hii nchi wanatembea wanaongea wenyewe...😎..kumbe hili tatizo limeanzia mbal sana📌
 
Back
Top Bottom