pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
- Thread starter
- #21
Bado una wasiwasi na Simba?Ndomana kuna watu hii nchi wanatembea wanaongea wenyewe...[emoji41]..kumbe hili tatizo limeanzia mbal sana[emoji419]
JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado una wasiwasi na Simba?Ndomana kuna watu hii nchi wanatembea wanaongea wenyewe...[emoji41]..kumbe hili tatizo limeanzia mbal sana[emoji419]
Kwamba itamtoa Wydad?
Waidadi ndo kitu gani mkuuu?? Kwani wao sio binadamu??Kwamba itamtoa Wydad?
Kama vile anavyofanyaga Chelsea vileNdy ni simba mbovu lakni inaenda nusufainal kama haitak vileeee
Ndy manake yaan simba Huwa anawinda taratibuu tu hana mbambambaKama vile anavyofanyaga Chelsea vile
Tukuite Asha au Ashura cheusiNiko paleeeee👉👉👉👉
Kuna watu wanadai simba ni mbovu Simba siyo mbovu ni mfumo wa uchezaji ndio umebadilika. Ingawa kosa hili la kubadili mfumo ameuleta mo simlaumu kwa kuwa nae apenda Simba yenye mafanikio ingawa ulikua siyo mda mwafaka kuleta kocha katikati ya msimu wakati timu ilikua nzuri.
Yote kwa yote hii Simba mnayoiona Leo tena wengi wakidai mbovu itafika nusu fainali ya CAF.