Simba chagueni uwanja mnaoutaka Yanga tuwafuate.

Simba chagueni uwanja mnaoutaka Yanga tuwafuate.

hydroxo

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2015
Posts
3,553
Reaction score
7,334
Kama hawa ndugu zetu wanaoamini ushirikina kwenye zama hizi wamegoma kucheza nashauri wachague uwanja wanaoutaka kwa mazingira wanayoyataka wao.

Sisi Yanga tupo tayari kuwafuata kokote kule mtakapopachagua.

Iwe bunju,msimbazi juu ya ghorofa au kule tandahimba mlipokusanya wazee wenu mliotaka wakapige matambiko hatarishi jana sisi wananchi tupo tayari.

#MPIRA BILA YA USHIRIKINA INAWEZEKANA.
Screenshot_20250308-120214_Chrome.jpg
 
CCM Ndio inapenda vijana Wa Tanganyika waweke nguvu zao huko kwenye simba Na YANGA".

Great Thinker
.

Leo Tutaona Nyuzi za Simba na Yanga zaidi ya elfu 60 humu jukwaani.

TUKIWAAMBIA KUSHABIKIA SIMBA NA YANGA NI UPUMBAVU HAMUELEWI.
 
CCM Ndio inapenda vijana Wa Tanganyika waweke nguvu zao huko kwenye simba Na YANGA".

Great Thinker
.

Leo Tutaona Nyuzi za Simba na Yanga zaidi ya elfu 60 humu jukwaani.

TUKIWAAMBIA KUSHABIKIA SIMBA NA YANGA NI UPUMBAVU HAMUELEWI.
Hii yako nayo imechangia kwenye hizo nyuzi zaidi ya elfu 60.
 
kama mnajiamini ilikuwaje mkatuma matahira wenu waje kutuzuia kufanya mazoezi jana.wakati sheria na kanuni za TFF zinafahamika?nan waoga kati yetu sisi na nyinyi?
 
kama mnajiamini ilikuwaje mkatuma matahira wenu waje kutuzuia kufanya mazoezi jana.wakati sheria na kanuni za TFF zinafahamika?nan waoga kati yetu sisi na nyinyi?
Mazoezi mliyofanya wiki nzima hayawatoshi?

Kwahiyo tukiwafunga kama ambavyo ni kawaida yetu tunapokutana na my wetu Simba mtasingizia kutokufanya mazoezi jana?

Basi pangeni nyie lini na wapi tucheze hii mechi hili tukiwakanda kusiwepo visingizio.
 
Ujinga wa aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini.
 
Kama hawa ndugu zetu wanaoamini ushirikina kwenye zama hizi wamegoma kucheza nashauri wachague uwanja wanaoutaka kwa mazingira wanayoyataka wao.

Sisi Yanga tupo tayari kuwafuata kokote kule mtakapopachagua.

Iwe bunju,msimbazi juu ya ghorofa au kule tandahimba mlipokusanya wazee wenu mliotaka wakapige matambiko hatarishi jana sisi wananchi tupo tayari.

#MPIRA BILA YA USHIRIKINA INAWEZEKANA.
View attachment 3263382
Wewe ni msemaji rasmi wa Yanga uliyepewa idhini na uongozi wa Yanga utuambie haya Watanzania!!??
 
CCM Ndio inapenda vijana Wa Tanganyika waweke nguvu zao huko kwenye simba Na YANGA".

Great Thinker
.

Leo Tutaona Nyuzi za Simba na Yanga zaidi ya elfu 60 humu jukwaani.

TUKIWAAMBIA KUSHABIKIA SIMBA NA YANGA NI UPUMBAVU HAMUELEWI.
Ficha upumbavu wako,tangu asubuhi upo hapa Jukwaani halafu unawabeza wenzako.
 
Suala tu mechi iwepo. Sidhani kama kuna namna nyingine ya kuwasaidia ndugu zetu wa simba. Yaani kwa sababu mlifungiwa mlango wa uwanja na meneja, ndiyo msuse kucheza!! Kuweni serious aisee!
 
Suala tu mechi iwepo. Sidhani kama kuna namna nyingine ya kuwasaidia ndugu zetu wa simba. Yaani kwa sababu mlifungiwa mlango wa uwanja na meneje, ndiyo msuse kucheza!! Kuweni serious aisee!
Kabisa muhimu mechi iwepo.

Makolo wakisusa watakua wamewakatili sana washabiki wao hasa waliotoka mbali kuja kuwashuhudia.
 
kama mnajiamini ilikuwaje mkatuma matahira wenu waje kutuzuia kufanya mazoezi jana.wakati sheria na kanuni za TFF zinafahamika?nan waoga kati yetu sisi na nyinyi?
Yale mazoezi ya usiku jana ndo yalikuwa ya kuifunga Yanga?
Tunajua mlifanya bongo movie pale mkajlfanya wale makomandoo wa Yanga wakati mjomba wake Ahmed Ally ndo aliongoza kile kikundi.
 
Yale mazoezi ya usiku jana ndo yalikuwa ya kuifunga Yanga?
Tunajua mlifanya bongo movie pale mkajlfanya wale makomandoo wa Yanga wakati mjomba wake Ahmed Ally ndo aliongoza kile kikundi.
Eti Shangaa na wewe!

Yani kolo kapewa miezi na wiki kadhaa za kujiandaa lakini kaona hazitoshi ila mazoezi ya masaa matatu ndio yanatosha!

Ukweli ni kwamba Simba kaikimbia Yanga na historia imeshaandikwa.
 
Back
Top Bottom