Simba chukueni billion 20 za Mo mfanye usajili wachezaji wa maana

Simba chukueni billion 20 za Mo mfanye usajili wachezaji wa maana

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Simba solution ni simple tu chukueni pesa alizotoa Mo bilion 20 mnunue wachezaji wenye quality ya kupambana na Yanga.

Acheni uswahili kuficha mambo wakati ubovu wenu tunauona.

Kama Mo alitoa pesa pesa zikowapi si zitumike kuleta wachezaji?

Shida ya Simba ipo kwa Mo sio kwa Kakolanya, Matola au Babra.

Tuliwaambia hapa mmefanya transition kiini macho hamkuelewa kwa maana mlikuwa mnahonga marefa na timu pinzani na kupata matokeo.

Tukawaambia siku mkianza kupata matokeo mabovu Muhindi mtamkataa.

Yako wapi leo mnateseka kwa kinyago mlichokichonga wenyewe.

Simba hakuna uwazi narudia na kuna upigaji mwingi na ujanja ujanja matokeo uwanjani yanawaumbua na yatawaumbua mpaka mgawane fito.

Mnajua kuwa pesa za mbet Mtagawana na Mo?

Je mnajua yanga kwenye ile 49% ya wawekezaji itawekwa bilion 500 na wawekezaji 4 tofauti?

Endeleeni kucheka na kima mtashuka daraja kwa mikakati ya yanga.

Nawatonya tu wekeni presha kwa uongozi wasajili wachezaji wenye hadhi ya kucheza Simba. Simba ni kubwa na ni timu ya watu sio mtu.
 
Simba solution ni simple tu chukueni pesa alizotoa Mo bilion 20 mnunue wachezaji wenye quality ya kupambana na Yanga.

Acheni uswahili kuficha mambo wakati ubovu wenu tunauona...
Acha uchawi wewe, aliyekuambia zile B 20 ni za usajili ni nani ?
 
Kwahiyo yanga mikakati yenu ni kuishusha daraja simba na si maendeleo ya club yenu....
 
Mbona mjadala wa bilioni 20 za mwekezaji wetu tulishaufunga rasmi! Kulikoni mnaendelea kuufufua!
 
Simba solution ni simple tu chukueni pesa alizotoa Mo bilion 20 mnunue wachezaji wenye quality ya kupambana na Yanga.

Acheni uswahili kuficha mambo wakati ubovu wenu tunauona.

Kama Mo alitoa pesa pesa zikowapi si zitumike kuleta wachezaji?

Shida ya Simba ipo kwa Mo sio kwa Kakolanya, Matola au Babra.

Tuliwaambia hapa mmefanya transition kiini macho hamkuelewa kwa maana mlikuwa mnahonga marefa na timu pinzani na kupata matokeo.

Tukawaambia siku mkianza kupata matokeo mabovu Muhindi mtamkataa.

Yako wapi leo mnateseka kwa kinyago mlichokichonga wenyewe.

Simba hakuna uwazi narudia na kuna upigaji mwingi na ujanja ujanja matokeo uwanjani yanawaumbua na yatawaumbua mpaka mgawane fito.

Mnajua kuwa pesa za mbet Mtagawana na Mo?

Je mnajua yanga kwenye ile 49% ya wawekezaji itawekwa bilion 500 na wawekezaji 4 tofauti?

Endeleeni kucheka na kima mtashuka daraja kwa mikakati ya yanga.

Nawatonya tu wekeni presha kwa uongozi wasajili wachezaji wenye hadhi ya kucheza Simba. Simba ni kubwa na ni timu ya watu sio mtu.
Yule mzungu alikuwa sahihi kuwaita manyani
 
Tumia akili japo kiduchu bil 20 sio za usajiri
 
Unamnunua Victor Ikpan kweli? Si kujaza nafasi za foreign players? Tunanunua cheap players ndio maana tumeshindwa deals za Adebayo na Manzoki. Timu inapata expensive deals alafu usajili bora hata wa Singida United! Ujinga tu!
 
Simba solution ni simple tu chukueni pesa alizotoa Mo bilion 20 mnunue wachezaji wenye quality ya kupambana na Yanga.

Acheni uswahili kuficha mambo wakati ubovu wenu tunauona.

Kama Mo alitoa pesa pesa zikowapi si zitumike kuleta wachezaji?

Shida ya Simba ipo kwa Mo sio kwa Kakolanya, Matola au Babra.

Tuliwaambia hapa mmefanya transition kiini macho hamkuelewa kwa maana mlikuwa mnahonga marefa na timu pinzani na kupata matokeo.

Tukawaambia siku mkianza kupata matokeo mabovu Muhindi mtamkataa.

Yako wapi leo mnateseka kwa kinyago mlichokichonga wenyewe.

Simba hakuna uwazi narudia na kuna upigaji mwingi na ujanja ujanja matokeo uwanjani yanawaumbua na yatawaumbua mpaka mgawane fito.

Mnajua kuwa pesa za mbet Mtagawana na Mo?

Je mnajua yanga kwenye ile 49% ya wawekezaji itawekwa bilion 500 na wawekezaji 4 tofauti?

Endeleeni kucheka na kima mtashuka daraja kwa mikakati ya yanga.

Nawatonya tu wekeni presha kwa uongozi wasajili wachezaji wenye hadhi ya kucheza Simba. Simba ni kubwa na ni timu ya watu sio mtu.
Simba alicheza mpira mzuri tu. Matokeo ndo yalimkataa
 
Back
Top Bottom