Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hujaelewa madaNani achukue scraps
Yule wangempa ukepteni anauweza sana.Hawana msaada maana wameshashiriki wakiwa uto. Yanga wachezaji wana wenge na kiherehere. HIVI DIARA HUWA ANAFUATA NINI KATIKATI YA UWANJA? Au ndizo sifa za kijinga!
UsinipangieWe Chambua Chadema mpira huna uwezalo.
Kwa vile hawa bado ni Wachezaji wazuri tu wanaweza kusaidia Simba kwenye michuano ya kimataifa.
Taarifa zinaonyesha kwamba kocha wa Yanga hawataki
Wakiwachukua hao, wale wastaafu wanaotumikishwa kila mechi watapumua aisee.Kwa vile hawa bado ni Wachezaji wazuri tu wanaweza kusaidia Simba kwenye michuano ya kimataifa.
Taarifa zinaonyesha kwamba kocha wa Yanga hawataki