Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mchezo wetu na Singida ni mgumu, kuna mikakati hiyo inafanyika Mkwakwani kuhakikisha fainal hatuchezi.
Mambo ya nje ya uwanja ni mengi, mara wamekwenda Mabokweni, mara wako Pangani, mara wako Hale, mara wameenda mwakidila, mara Duga, mara Mahako, aiseee tujihadhari.
Niko Tanga.
Mambo ya nje ya uwanja ni mengi, mara wamekwenda Mabokweni, mara wako Pangani, mara wako Hale, mara wameenda mwakidila, mara Duga, mara Mahako, aiseee tujihadhari.
Niko Tanga.