Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Kawa kawaida ya Mwamedi,anatumia propaganda kuwatuliza Mambumbumbu yake akishaona hali si shwari upande wake. Manara anamvuruga mno.View attachment 1909296View attachment 1909297
Uto wao wapo busy ba taarabu za manara. Tumetofautiana. Tajiri mmoja anatafuta fursa za timu na timu kubwa lakn tajiri mwingine anatafuta namna ya kupiga hela kupitia mauzo ya vibwengo kwenye jezi