Simba Day bila umeme

Mtimkavuorg

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
655
Reaction score
527
Nashangaa Tanzania nchi yangu leo ni siku kubwa ya Simba Day na siku kubwa ya Nanenane lakini umeme hakuna hivi tunalipia Luku ili iweje maeneo ya Mbagala umeme hakuna waziri mwenye mamlaka leo ni siku kubwa nchini bila umeme, kazi iendelee [emoji375]
 
Nashangaa Tanzania nchi yangu leo ni siku kubwa ya Simba day na siku kubwa ya nane nane lakini umeme hakuna ivi tunalipia luku ili iweje maeneo ya Mbagala umeme hakuna waziri mwenye mamlaka leo ni siku kubwa nchini bila umeme,kazi iendelee [emoji375]
Tatizo ni CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…