Simba Day hakutakuwa na fungulia mbwa kama Yanga

Kiingilio cha 5000/= ndio fungulia mbwa yenyewe. Kiingilio kimepangwa kulingana na starehe inayo tarajiwa.
Hakuna starehe yoyote ya maana utapata kwa 5000/=

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Simba wapi very smart na Tamasha lao.
Wamejipanga mno.

Shida ni usajili ndipo wamepuyanga Mno
 
Kiingilio cha 5000/= ndio fungulia mbwa yenyewe. Kiingilio kimepangwa kulingana na starehe inayo tarajiwa.
Hakuna starehe yoyote ya maana utapata kwa 5000/=

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Yanga pamoja na kufungulia Mbwaa haukujaa
 
Reactions: Tui
Sasa tuamini kipi? VIP C tiketi zimeuzwa au zimebakia tiketi 2052?
 

Attachments

  • IMG_20230803_145646.jpg
    119 KB · Views: 1
Na Nina wahakikishia kua huu ndo ushindi wetu Simba ni wakati wa kufurahi japo Kwa muda.
 
Ngoja Kwanza!!""Weita niongoze plisna ya Moto""
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…