Simba Day hakutakuwa na fungulia mbwa kama Yanga

Simba Day hakutakuwa na fungulia mbwa kama Yanga

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Ins52160607660_02aa6cfe2ac94d59b907c27a5ea34d8e_364947017_599783385560166_993475932470536332_n.jpg


Updates
Ins52160607660_e72639eb5f3649bdb9681db067d1707c_364359351_828518045355149_3188791674345663605_n.jpg


Updates
Ins52160607660_ff4d17ed0b144651b8a9565aad1ad6fb_364066081_18366222646071034_475117949082627291...jpg

Tiketi za Simba Day ziinapukutika. Ukisubiri kukata siku ya mechi utaumbuka. Kachukue leo kama sio leo. Hakutakuwa na fungulia mbwa kama Yanga
 
Kiingilio cha 5000/= ndio fungulia mbwa yenyewe. Kiingilio kimepangwa kulingana na starehe inayo tarajiwa.
Hakuna starehe yoyote ya maana utapata kwa 5000/=

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Simba wapi very smart na Tamasha lao.
Wamejipanga mno.

Shida ni usajili ndipo wamepuyanga Mno
 
Kiingilio cha 5000/= ndio fungulia mbwa yenyewe. Kiingilio kimepangwa kulingana na starehe inayo tarajiwa.
Hakuna starehe yoyote ya maana utapata kwa 5000/=

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Yanga pamoja na kufungulia Mbwaa haukujaa
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Sasa tuamini kipi? VIP C tiketi zimeuzwa au zimebakia tiketi 2052?
 

Attachments

  • IMG_20230803_145646.jpg
    IMG_20230803_145646.jpg
    119 KB · Views: 1
Na Nina wahakikishia kua huu ndo ushindi wetu Simba ni wakati wa kufurahi japo Kwa muda.
 
Ngoja Kwanza!!""Weita niongoze plisna ya Moto""
 
Back
Top Bottom