Simba Day v/s Wananchi Day, Compare and Contrast

Simba Day v/s Wananchi Day, Compare and Contrast

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
Wakuu Kwema?

Hapo Kabla kwa mara ya kwanza, timu ya Yanga ilifanya tamasha lake la kutambulisha wachezaji wake wapya iliyowasajili msimu huu, pamoja na wanaoendelea. Tamasha hili lilikwenda kwa jina la Wananchi Day.

Kwa upande wa watani wao wa jadi, Wekundu wa Msimbazi, Simba S. C nao walifanya tamasha lao kama kawaida yao hapo jana ili kutambulisha kikosi chao nao, wapya na wanaoendelea.

Sasa basi ningependa tujadili juu ya matamasha haya mawili, utani wa jadi hauko kwenye pitch tu, hata matukio kama haya tunashindana pia kujua nani kafanikiwa zaidi ya mwengine. Nitaanza kulinganisha kama ifuatavyo,

KUJAZA UWANJA
Ni Wazi kwa matamasha yote mawili uwanja ulijaa. So kila timu imefanikiwa kwa hilo. Ila Simba inafanikiwa zaidi sababu imeweza kujaza Uwanja siku Kazi (Jumanne) wakati Yanga ilijaza Uwanja siku ya Mapumziko.

Inawezekana kabisa Simba wangefanya tamasha lao siku ya Mapumziko basi Uwanja "Ungetapika" zaidi ya Jana. Au Yanga wakafanya tamasha lao siku ya kazi basi wangeshuhudiwa na Mashabiki Wachache + Viti Vitupu!!

VIKOSI
Simba inaonekana kua na kikosi bora kuliko Yanga, sababu kwa hesabu za kawaida tu Simba imeshinda kwa tofauti ya Magoli mawili wakati Yanga imesuluhu.

Pia ikumbukwe kua Zambia wako juu kisoka kuliko Kenya, hivyo inawezekana kabisa Simba imecheza na timu bora zaidi kuliko Yanga.

Kwa muono wangu huu, juu ya haya machache basi Simba imefanikiwa zaidi kuliko Yanga. Karibuni kwenye mjadala...!!!
 
68865244_152700922508952_9141716831587794944_n.jpg


67739387_152700985842279_5456601008622796800_n.jpg



67777167_152701049175606_5910619561941532672_n.jpg


JANA HII
 
Maendeleo hayana timu[emoji3][emoji3]
 
Mikia inabidi mkafanye mtihani wa IQ ...unasema Zambia iko juu kisoka kuliko Kenya ?mbona Zambia hawakuwepo AFCON 2019....Zambia kizazi Cha dhahabu kimeshapotea..Kariobang sharks waliwavimbia Everton hao Power Daynamos wangeweza kwa jinsi wanavyocheza?kujaza uwanja kwani huko nyuma hamkuwahi kufanya tamasha weekend?Sifia Yanga wamefanya kazi nzuri..mara ya kwanza hamasa ilikuwa juu..itakuwaje mwakani?mwisho Manara ana kesi mahakamani amefanya Nini???
 
Wakuu Kwema?

Hapo Kabla kwa mara ya kwanza, timu ya Yanga ilifanya tamasha lake la kutambulisha wachezaji wake wapya iliyowasajili msimu huu, pamoja na wanaoendelea. Tamasha hili lilikwenda kwa jina la Wananchi Day.

Kwa upande wa watani wao wa jadi, Wekundu wa Msimbazi, Simba S. C nao walifanya tamasha lao kama kawaida yao hapo jana ili kutambulisha kikosi chao nao, wapya na wanaoendelea.

Sasa basi ningependa tujadili juu ya matamasha haya mawili, utani wa jadi hauko kwenye pitch tu, hata matukio kama haya tunashindana pia kujua nani kafanikiwa zaidi ya mwengine. Nitaanza kulinganisha kama ifuatavyo,

KUJAZA UWANJA
Ni Wazi kwa matamasha yote mawili uwanja ulijaa. So kila timu imefanikiwa kwa hilo. Ila Simba inafanikiwa zaidi sababu imeweza kujaza Uwanja siku Kazi (Jumanne) wakati Yanga ilijaza Uwanja siku ya Mapumziko.

Inawezekana kabisa Simba wangefanya tamasha lao siku ya Mapumziko basi Uwanja "Ungetapika" zaidi ya Jana. Au Yanga wakafanya tamasha lao siku ya kazi basi wangeshuhudiwa na Mashabiki Wachache + Viti Vitupu!!

VIKOSI
Simba inaonekana kua na kikosi bora kuliko Yanga, sababu kwa hesabu za kawaida tu Simba imeshinda kwa tofauti ya Magoli mawili wakati Yanga imesuluhu.

Pia ikumbukwe kua Zambia wako juu kisoka kuliko Kenya, hivyo inawezekana kabisa Simba imecheza na timu bora zaidi kuliko Yanga.

Kwa muono wangu huu, juu ya haya machache basi Simba imefanikiwa zaidi kuliko Yanga. Karibuni kwenye mjadala...!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG-20190806-WA0157.jpeg
 
Wakuu Kwema?

Hapo Kabla kwa mara ya kwanza, timu ya Yanga ilifanya tamasha lake la kutambulisha wachezaji wake wapya iliyowasajili msimu huu, pamoja na wanaoendelea. Tamasha hili lilikwenda kwa jina la Wananchi Day.

Kwa upande wa watani wao wa jadi, Wekundu wa Msimbazi, Simba S. C nao walifanya tamasha lao kama kawaida yao hapo jana ili kutambulisha kikosi chao nao, wapya na wanaoendelea.

Sasa basi ningependa tujadili juu ya matamasha haya mawili, utani wa jadi hauko kwenye pitch tu, hata matukio kama haya tunashindana pia kujua nani kafanikiwa zaidi ya mwengine. Nitaanza kulinganisha kama ifuatavyo,

KUJAZA UWANJA
Ni Wazi kwa matamasha yote mawili uwanja ulijaa. So kila timu imefanikiwa kwa hilo. Ila Simba inafanikiwa zaidi sababu imeweza kujaza Uwanja siku Kazi (Jumanne) wakati Yanga ilijaza Uwanja siku ya Mapumziko.

Inawezekana kabisa Simba wangefanya tamasha lao siku ya Mapumziko basi Uwanja "Ungetapika" zaidi ya Jana. Au Yanga wakafanya tamasha lao siku ya kazi basi wangeshuhudiwa na Mashabiki Wachache + Viti Vitupu!!

VIKOSI
Simba inaonekana kua na kikosi bora kuliko Yanga, sababu kwa hesabu za kawaida tu Simba imeshinda kwa tofauti ya Magoli mawili wakati Yanga imesuluhu.

Pia ikumbukwe kua Zambia wako juu kisoka kuliko Kenya, hivyo inawezekana kabisa Simba imecheza na timu bora zaidi kuliko Yanga.

Kwa muono wangu huu, juu ya haya machache basi Simba imefanikiwa zaidi kuliko Yanga. Karibuni kwenye mjadala...!!!
HUJUI UNACHOANDIKA
 
Mikia inabidi mkafanye mtihani wa IQ ...unasema Zambia iko juu kisoka kuliko Kenya ?mbona Zambia hawakuwepo AFCON 2019....Zambia kizazi Cha dhahabu kimeshapotea..Kariobang sharks waliwavimbia Everton hao Power Daynamos wangeweza kwa jinsi wanavyocheza?kujaza uwanja kwani huko nyuma hamkuwahi kufanya tamasha weekend?Sifia Yanga wamefanya kazi nzuri..mara ya kwanza hamasa ilikuwa juu..itakuwaje mwakani?mwisho Manara ana kesi mahakamani amefanya Nini???
KMC ni zaidi ya Everton
 
Wakuu Kwema?

Hapo Kabla kwa mara ya kwanza, timu ya Yanga ilifanya tamasha lake la kutambulisha wachezaji wake wapya iliyowasajili msimu huu, pamoja na wanaoendelea. Tamasha hili lilikwenda kwa jina la Wananchi Day.

Kwa upande wa watani wao wa jadi, Wekundu wa Msimbazi, Simba S. C nao walifanya tamasha lao kama kawaida yao hapo jana ili kutambulisha kikosi chao nao, wapya na wanaoendelea.

Sasa basi ningependa tujadili juu ya matamasha haya mawili, utani wa jadi hauko kwenye pitch tu, hata matukio kama haya tunashindana pia kujua nani kafanikiwa zaidi ya mwengine. Nitaanza kulinganisha kama ifuatavyo,

KUJAZA UWANJA
Ni Wazi kwa matamasha yote mawili uwanja ulijaa. So kila timu imefanikiwa kwa hilo. Ila Simba inafanikiwa zaidi sababu imeweza kujaza Uwanja siku Kazi (Jumanne) wakati Yanga ilijaza Uwanja siku ya Mapumziko.

Inawezekana kabisa Simba wangefanya tamasha lao siku ya Mapumziko basi Uwanja "Ungetapika" zaidi ya Jana. Au Yanga wakafanya tamasha lao siku ya kazi basi wangeshuhudiwa na Mashabiki Wachache + Viti Vitupu!!

VIKOSI
Simba inaonekana kua na kikosi bora kuliko Yanga, sababu kwa hesabu za kawaida tu Simba imeshinda kwa tofauti ya Magoli mawili wakati Yanga imesuluhu.

Pia ikumbukwe kua Zambia wako juu kisoka kuliko Kenya, hivyo inawezekana kabisa Simba imecheza na timu bora zaidi kuliko Yanga.

Kwa muono wangu huu, juu ya haya machache basi Simba imefanikiwa zaidi kuliko Yanga. Karibuni kwenye mjadala...!!!
Unazi unakusumbua
 
Back
Top Bottom