Yani wewe ndo mbumbumbu kuliko hata unaowasema wenzio.Kufananisha ligi ya kenya na zambia ni ujinga.Tumecheza na timu nyingi za zambia na tunazichapa hapa.Mara ya mwisho yanga tulicheza na zanaco ya zambia hukohuko zanbia tukatoka 0-0sembuse powe dainamo ambayo ina maiaka 20 haishiriki ligi ya mabingwa wala kombe lolote?Ligi ya kenya imeimprove sana compared n ligi ya kenya.ko kuna uwezekano simba alijichagulia kibonde ili kufurahisha mbumbu.bu na walivyo pumbu wananasa kweli mtegoni wiki ijayo unakutana na songo chali nje ya mashindano mnabaki mnatazamana.
Hivi Kenya na Zambia nchi gani inapeleka timu nyingi Kwenye mashindano ya CAF.
Pili hiyo kariobang ya Kenya imeshika nafasi ya ngapi Kwenye ligi kuu yao.
Ili nikutoe Kwenye umbumbumbu nijibu hayo maswali., sio kuleta hadithi za hovyo kabsa.
Yani ufananisha kiwango cha Zambia na Kenya Kwenye soka Afrika. We ni hamnazo kabsa.