Soka Ndio Maisha Yangu
Member
- Nov 27, 2024
- 43
- 127
Jana kwa namna nilivyouangalia mpira, timu yetu katikati ilikuwa inakatika sana, kama wangekuwepo wale sungura huku Pacome, kule Max, kule Aziz, cjui Mzize au Dube Leo wengine tusingeamka majumbani kwetu na tungebakia mavyumbani kusikiliza nyimbo za Amapiano TU, kiukweli Azam walitukosa sana Jana, beki zilikuwa zinakatika mno, Ngoma alikuwa ameshuka chini akisaidiana na Kagoma huku viungo wa Azam akina Akaminko, Yahya Zaid, Sylla, Feitoto wakisukuma sana mashambulizi kwetu hasa kipindi cha pili, Mimi nilitegemea sana kipindi cha pili kinaanza kocha angemtoa Ngoma na Ahoua na kumuingiza Mavambo na Awesu Awesu.Hata hivyo haikuwa hivyo, badala yake yeye anawafuata mashabiki na kuwaaambia waongeze sauti gemu imeshaisha hiyo wakati sio kweli.
Pia Zimbwe amekuwa anajisahau sana, hii sio mara ya kwanza kwa Zimbwe kutuchomesha, mnakumbuka mechi ya Yanga ile ya 2 2 ambayo Yanga walisawazisha kwa BAO la pili la mzanzibar Banka mechi ambayo Deo Kanda aliwasumbua sana Yanga lakini Yanga wakarudisha mabao yote mawili kipindi cha 2, Zimbwe alijisasahau Banka akasawazisha akimuacha Manula hana cha kufanya.
Leo tunamweka sana benchi Kijiji kwa kosa la mechi vs ya Yanga lakini Zimbwe naye anatakiwa kula adhabu kama Kijiji, tuache ubaguzi na upendeleo.
Pia Zimbwe amekuwa anajisahau sana, hii sio mara ya kwanza kwa Zimbwe kutuchomesha, mnakumbuka mechi ya Yanga ile ya 2 2 ambayo Yanga walisawazisha kwa BAO la pili la mzanzibar Banka mechi ambayo Deo Kanda aliwasumbua sana Yanga lakini Yanga wakarudisha mabao yote mawili kipindi cha 2, Zimbwe alijisasahau Banka akasawazisha akimuacha Manula hana cha kufanya.
Leo tunamweka sana benchi Kijiji kwa kosa la mechi vs ya Yanga lakini Zimbwe naye anatakiwa kula adhabu kama Kijiji, tuache ubaguzi na upendeleo.