Kwa hali ilivyo simba inabd wafute benchi lote wasimuonee huruma hata matola mwenyewe kisa ni simba.
WE UNACHEZA NA PRISON UNAJUA KABISA NI WATU WA KUPARK BUS NA KUVIA
1. Unamuweka benchi mchezaj mwenye kasi kama Sakho.
2. Unajaza viungo wanaishia kucheza katikati tu.
3. Chama ameisha alikuwa anapoteza mipira na hakabi. Lakini pia yupo slow kwa mpira wa sasa ni haraka haraka mkicheza taratibu ni ngumu kufanya counter.
4. Vijana pia wapewe nafasi Jimmyson mhilu n.k.
5. Januari tulipuuza hatukununua wachezaj tukagamble na hawa wamechoka 4yrs wanatumika.
6. Ondoa bocco na mugalu mlete phiri kutoka zanaco.
7. Mbinu zetu zimepitwa na wakati mambo ya pira biriani mwisho wa siku wachezaj wa simba wanacheza na majukwaa.
8. Tunajua siku zote mechi ya prison ni ngumu benchi laufundi hawakufanyia kazi namna ya kufungua beki line yao ambayo ilikuwa na watu kama 10 wakiwa hawana mpira.
9. Mazoezi ya Simba why yapo kwenye open space kila mtu anaona.
10. Je mazoezi ya Simba wanajifunza kweli kupiga faulooo.
11. Kocha asipobadilishwa hata nafasi ya pili hatuipati ngo
WE UNACHEZA NA PRISON UNAJUA KABISA NI WATU WA KUPARK BUS NA KUVIA
1. Unamuweka benchi mchezaj mwenye kasi kama Sakho.
2. Unajaza viungo wanaishia kucheza katikati tu.
3. Chama ameisha alikuwa anapoteza mipira na hakabi. Lakini pia yupo slow kwa mpira wa sasa ni haraka haraka mkicheza taratibu ni ngumu kufanya counter.
4. Vijana pia wapewe nafasi Jimmyson mhilu n.k.
5. Januari tulipuuza hatukununua wachezaj tukagamble na hawa wamechoka 4yrs wanatumika.
6. Ondoa bocco na mugalu mlete phiri kutoka zanaco.
7. Mbinu zetu zimepitwa na wakati mambo ya pira biriani mwisho wa siku wachezaj wa simba wanacheza na majukwaa.
8. Tunajua siku zote mechi ya prison ni ngumu benchi laufundi hawakufanyia kazi namna ya kufungua beki line yao ambayo ilikuwa na watu kama 10 wakiwa hawana mpira.
9. Mazoezi ya Simba why yapo kwenye open space kila mtu anaona.
10. Je mazoezi ya Simba wanajifunza kweli kupiga faulooo.
11. Kocha asipobadilishwa hata nafasi ya pili hatuipati ngo