Simba haijawahi kupata ushindi mbele ya TP Mazembe hata kwenye mechi za kirafiki

Simba haijawahi kupata ushindi mbele ya TP Mazembe hata kwenye mechi za kirafiki

Yaani heshima kwa TP Mazembe iliyotolewa Champions League na Vipers? 😀
Nazungumzia hii Tp Mazembe iliyoichapa raja ambao wamekufirimba 3-0 kwa mkapa[emoji23][emoji23]
maxresdefault(8).jpg
 
Nazungumzia hii Tp Mazembe iliyoichapa raja ambao wamekufirimba 3-0 kwa mkapa
Hiyo TP Mazembe haijakutana na Raja Casablanca mwaka huu. Zote Raja na TP Mazembe zilianzia raundi ya pili ya CAF Champions League. Raja ikaitoa ASN Nigelec ya Niger kwa jumla ya mabao 3-0 na TP Mazembe ikatolewa na Vipers kwa penati 4-2 baada ya kushindwa kufungana mechi zote mbili.

Ilipoteremshwa kwenye kombe duni la shirikisho, TP Mazembe ikaitoa Royal AM ya South Africa kwa jumla ya mabao 3-0
Sasa sijajua unaizungumzia TP Mazembe gani hiyo iliyokutana na Raja Casablanca
 
imecheza kwenye Champions League lakini, usiichanganye na taarifa za kombe la shirikisho
Man U na Barca wako Europa League Chelsea na Liva wapo UEFA je Chelsea na Liva ndio wabora kuzidi hao ?
 
Man U na Barca wako Europa League Chelsea na Liva wapo UEFA je Chelsea na Liva ndio wabora kuzidi hao ?
Kwan Barca si amecheza makundi uefa na hakupita? mechi za uefa ni chache na zinachezwa kimkakati, usidharau team. Chelsea amewahi kubeba ndoo wakati kwenye ligi hayupo top 4, Man city mara kibao anakua tishio lig kuu Ila ikija uefa hafui dafu. Timu inaweza kuwa Bora ligi kuu na isiwe Bora uefa.
 
Ligi ya gongolamboto labda.
Kwanini niwe mkali wakati kuna timu imecheza mechi 2 point 0 magoli 0
Wakati mwenzake kwa mechi hizo 2 ana alama 6 na magoli 8.
Thithi levo yetu Ni RAJA. Labda RAJABU
 
Ni kweli na kipindi hicho ilikuwa TP Mazembe kweli,sio hii tiamaji tiamaji
 
Back
Top Bottom