Hivi yule muhuni aliyempiga mbata bila sababu mshabiki wa Simba anayeitwa Dr. Mohamed ni nani kama siyo hao hao tunaita mabausa wenu?Yanga haitambui nafasi wala mfanyakazi baunsa
Hao ni watu waliwekwa na Simba kusinguzia na kukwepa mchezo
Iliwezekana vip Simba waende uwanjani bila kuwapa taarifa wamiliki na kamshina wa mchezo
Hao wadau wa soka wana msaada gn kwangu?Unajidhalilisha kwa wadau wa soka wanaokusoma hapa. Najaribu tu kukusaidia kulinda heshma yako.
Usikasirike fuata kanuni!Simba ndo alitumia uwanja wa Taifa dhidi ya Azam week hii, unasema hayupo familiar na uwanja wa Taifa kivipi?
Bodi ya ligi inasema Simba hawakutoa taarifa za mamlaka ya uwanja kuhusu ujio wao.
Walitaka wafanye vip mazoezi usiku bila kuwajulisha wenye mamlaka ili wawake mazingira rafiki ikiwa pamoja na mwanga au walitaka watumie tochi za simu?
Simba waliandaa mangenge Yao ili kutafuta sababu ya kukimbia mechi
Simba wamefanya uhuni hapa laZima kanuni zisimame
PorojoYanga haitambui nafasi wala mfanyakazi baunsa
Hao ni watu waliwekwa na Simba kusinguzia na kukwepa mchezo
Soma aya ya mwisho ya taarifa ya bodi ya ligi usikomalie tu masuala ya kuzuiwa kufanya mazoezi, Uhalali wa kuahirisha mechi upo aya ya mwisho.Iliwezekana vip Simba waende uwanjani bila kuwapa taarifa wamiliki na kamshina wa mchezo
Kwa hiyo TFF na Bodi ya Ligi ni wapumbavu walipoandika kwenye barua Yao kuwa Simba hawakutoa taarifa Kwa wenyeji, Afisa wa mechi na Meneja wa uwanja!?? TFF na Bodi ya Ligi ni wapumbavu!??Kanuni inasema Afisa wa mechi ndiyo anatakiwa atoe taarifa pale kunapokuwa na mazingira ya kanuni hiyo itashindwa kufanya kazi! Badala yake mabausa wa Yanga wakajipa jukumu lisilo lao na sasa msala mnao.
Hiyo haki ya timu ngeni ni automatic haina mjadala na pale inakuwa haiwezekani kutekelezeka ndiyo inabidi timu husika itaarifiwe mapema. Swali lako linatakiwa kuwa je Simba ilitaarifiwa mapema kuwa haitaweza kutumia uwanja wa Mkapa kufanya mazoezi?
Unatapatapa mkuu huna lolote.Mechi ya Simba na Azam imechezwa siku 12 zilizopita. Wataalamu wangekuwa na akili kisoda kama zako wangesema haki itolewe kwa kwanza kuangalia ni lini mara ya mwisho timu ilitumia uwanja husika. Badala yake kanuni ipo wazi na clear na kanuni lazima ziheshimiwe maana hazijatungwa kujaza tu makaratasi.
Sababu ya kuhairishwa mechi haipoSOMENI TAARIFA YA BODI YA LIGI, SABABU YA KUHAIRISHA MECHI SI MOJA TU, KUNA MAMBO YALILETWA NA WANAUSALAMA WA MICHEZO HAYAJAWEKWA WAZI.
INASHANGAZA SANA JAMBO LIMEANDIKWA WAZI ILA HALIONEKANI. HATUPENDI KUSOMA TUNAPENDA POROJO.
Porojo
Soma aya ya mwisho ya taarifa ya bodi ya ligi usikomalie tu masuala ya kuzuiwa kufanya mazoezi, Uhalali wa kuahirisha mechi upo aya ya mwisho.
View attachment 3264328
Aya ya mwisho inasema sababu ya kuhairishwa mechi haipo? Mkuu, mbona wewe ni mtu smart pamoja ya kwamba ni utopolo?Sababu ya kuhairishwa mechi haipo
Tunatembea na kanuni
Basi tuchukulie Simba alizuiwa na Yanga asifanye mazoezi kwaiyo solution ni kugomea mchezo
HuelewekiAya ya mwisho inasema sababu ya kuhairishwa mechi haipo? Mkuu, mbona wewe ni mtu smart pamoja ya kwamba ni utopolo?
Soma uzi huu halafu kunywa Mo Extra baridi utulize koo.Ulikuwa wapi kuandika haya wakati huo huo baada ya simba kupoteza mchezo huo? Wewe ni mnafiki na unatafuta chaka la kujifichia baada ya BODI YA LIGI na SIMBA yako kuingia mtegoni. Sisi yanga tupo kama waangalizi wa yale maamuzi mtakayatoa.
Hahaha, we jamaa bana.Hueleweki
Sababu kama ipo siutaje?
Sheria inawataka siku moja kabla ndiyo wafanye mazoezi kwenye uwanja utakaotumika kwa ajili ya mechi.
Nawapongeza wadau wote waliowafanyia hiyo hujuma ya kuwanyima uwanja wa mazoezi. Kwa hapa tulipofikia, siyo mbaya kumharibu kisaikolojia mpinzania wako, kupitia vitu vidogo kama hivi.
Uwe unaelewa,simba alikuwa mwenyeji hivyo alicheza Kwa gharama zake"his own cost"Sasa kama mwenyewe unakili Simba haikufanya mazoezi ambalo ni takwa la msingi na nyinyi ni watu wa kufata kanuni kwanini hamkugoma kucheza mchezo huo na prisons?
Au hilo takwa la kimsingi la kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi lipo na Yanga tu na prisons halipo?
Halafu huwezi kusema Simba hayuko familiar na uwanja wa taifa(kwa mkapa).
Huku ndio kule mna Kauli mbiu yenu ya kwa mkapa hatoki mtu huo ugeni na uwanja mmeupata lini?
Kubalini tu mmeiogopa Yanga na kuamua kukimbia kwa sababu za kitoto kabisa.
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Kuna watu wanachukulia poa utaratibu na haki iliyopewa timu ngeni kufanya mazoezi katika uwanja utakaochezewa mechi siku moja kabla ya mechi.
Wachezaji wanapokuwa wamefanya mazoezi katika uwanja wa vita watakaoenda kuutumia, hili ni suala la kiufundi na linasaidia kuandaa wachezaji kimwili na kisaikolojia. Lengo kuu ni kuweka mizania sawa kati ya timu zote mbili kuelekea mchezo husika. Kumbuka football inaendeshwa na dhana nzima ya "fair play" na kanuni nyingi zimetengenezwa kulinda dhana hii.
Nakumbuka misimu miwili iliyopita Simba ilifanya kosa moja kubwa sana lililoigharimu timu na kufifisha harakati zake za ubingwa.
Simba ilihamishia mechi yake dhidi ya Prisons katika uwanja wa Jamhuri, Morogoro na kupoteza mchezo ule kwa goli 1-2. Sikumbuki sababu hasa ilikuwa nini ila pamoja na kwamba ilikuwa ndiyo mwenyeji wa mchezo, Simba haikufanya mazoezi katika uwanja ule wa Jamhuri kabla ya mchezo husika. Nakumbuka kulaumu kuwa moja ya sababu ya Simba kupoteza mchezo ule hii inaweza kuwa ilichangia pakubwa sana.
SOMA HAPA:
Simba imeenda kuutumia uwanja wa Jamhuri bila kuujaribu
Utagundua issue siyo kuwa mwenyeji bali kuwa na familiarity na uwanja husika na kuutumia muda mfupi kabla ya mechi ni jambo muhimu kwa wachezaji wa timu zote mbili.
Kwa kulipanua zaidi hili suala na kuongeza uelewa, ndiyo maana mara nyingi utaona Simba huwa inaenda kufanya mazoezi Uwanja wa Mkapa walau siku moja kabla ya mechi za kimataifa na pia huwa inafanya hivyo pia katika uwanja wa KMC kabla ya mechi ya ligi. Hili ni suala la kiufundi zaidi na usipokuwa mtu wa mpira hauwezi kulielewa.
NYONGEZA: Hapa sijaongelea ukweli kuwa kuizuia timu iliyo na haki ya kutumia uwanja siku moja kabla ya mechi ni kuvuruga ratiba yake ya maandalizi ya mechi husika na inaua dhana nzima ya fair play. Ukiizuia timu kama ilivyotokea kwa Simba, itatakiwa kwenda katika mechi bila kuwa imefanya mazoezi kwa masaa 48. Hapo utimamu wa kimwili wa wachezaji utakuwaje?