Simba haikugomea mechi

Bodi walibugi walitakiwa wapuuze barua ya simba.
 
Kuandika siyo shida bodi wangesimamia mechi ichezwe ili waone kama simba wamesusa kweli. Sasa mechi imeahirishwa simba waende uwanjani?

Baada ya ile barua jamaa yenu jamaa akasisitiza au huyu kichaa.

Okay Kwa hiyo nyie siku hizi ofisi zenu zinapokea barua kwa njia ya Instagram au Instagram ndio njia officially za kupokea barua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…