Kasome barua ya Simba waliyopost kabla ya tamko lolote la bodi ya ligi,,walikuwa na mamlaka Gani ya kutoa official statement kwamba awapeleki timu uwanjani kabla ya kuwasiliana na bodi ya ligi na bodi ya ligi ndio ingetoa statement yenyewe kwanza juu ya mechi husika na sio Simba!