Simba haina udhamini wa GSM lakini imefungwa na Yanga pia, hii ikoje?

Simba haina udhamini wa GSM lakini imefungwa na Yanga pia, hii ikoje?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Ni mjinga pekee ambae anashindwa kujua ubora wa Yanga kipindi hiki. Kuna watu wanaodhani kuwa GSM kudhamini timu 6 kwenye ligi ni vibaya, kutainufaisha Yanga.

Huku ni kupenda timu yako bila kupenda mpira wenyewe. Simba, Azam, KMC, Mashujaa, zimefungwa na Yanga ingawa hazina udhamini wa GSM, hii imekaaje?

Soma Pia: Mdhamini mkuu wa Yanga GSM kudhamini timu nyingine saba za ligi kuu siyo fair

Azam anayo timu pia, lakini anadhamini timu zote kwenye ligi, kwanini Azam fc haichukui ubingwa kila mwaka? wamefilisika waongeze usajili.
 
Tunatafuta chaka la kujificha ila kiuhalisia Yanga wanatuzidi vitu vingi.

Ubora wa wachezaji.

Uwazi

Uongozi na mengine
Ila bado naimani msimu huu kitaumana yaani ni jino kwa jino
Watu wanaacha kujenga timu yao wanalalama na GSM kadhamini timu 6, nonsense!! Kwanini mo asidhamini zile timu 8 zilizobakia pia? Supersport wana timu na wanadhamini ligi ya Africa kusini. Yanga ilifungwa na Ihefu ikiwa story. Mtindio wa akili hawa.
 
Ni mjinga pekee ambae anashindwa kujua ubora wa Yanga kipindi hiki. Kuna watu wanaodhani kuwa GSM kudhamini timu 6 kwenye ligi ni vibaya, kutainufaisha Yanga.

Huku ni kupenda timu yako bila kupenda mpira wenyewe. Simba, Azam, KMC, Mashujaa, zimefungwa na Yanga ingawa hazina udhamini wa GSM, hii imekaaje?

Soma Pia: Mdhamini mkuu wa Yanga GSM kudhamini timu nyingine saba za ligi kuu siyo fair

Azam anayo timu pia, lakini anadhamini timu zote kwenye ligi, kwanini Azam fc haichukui ubingwa kila mwaka? wamefilisika waongeze usajili.

AZAM FC wamekula nne akiwemo mcolombiana Blanco...je Azam FC wanadhaminiwa NA GSM?
 
Mtu ana pesa za kudhamini matimu yote hayo halafu kuna wanaoshonewa batiki. Hii nchi hii...
 
Tunachukulia poa kwa kuwa ni low minded,ila kiukweli haijakaa sawa,tajiri akiwa na ajenda zake tumekwisha,wanaohoji wapo sahihi regardless mahaba yetu yapo wapi
 
T

Tengeneza team mtani achana na maswala ya kujitoa ufahamu,
Hata Yanga kipindi wanajitafuta walikuwa kila siku malalamiko sijui ugomvi na Tff,
mbona saivi wanafanya vizuri na husikii wakigombana na uongozi ule ule wa Tff..??
, ni kwa sababu wana uwezo mkubwa ambao hata hujuma cant help to knock them off. Kolo watengeneze team.
 
Hata belouzidad na mamelods nao walipokea bahasha. Hawashangai Yanga kucheza final CAF confederation
Na wao wafike huko si walisema hilo ni shindano la ma loser tuwaone wao watafika wapi
 
Back
Top Bottom