Simba haitokuja maliza top 3 kama Al hilal wataruhusiwa NBC ligi

Simba haitokuja maliza top 3 kama Al hilal wataruhusiwa NBC ligi

Lkn ndio iliyomkanda kolo 5G
Aliyekanda 5G na aliyekandwa 6G kuna mmoja hapo ana deni 🐸🐸 haiwapendezi kuishi na madeni huku mnaminya pua tu 🐸faivu ji🐸

Mlipeni kwanza huyo mwamba aliyewalamba six G ndo muanze kucheza mdundiko wa faivu ji cl🐸🐸wahed weye
 
Aliyekanda 5G na aliyekandwa 6G kuna mmoja hapo ana deni [emoji196][emoji196] haiwapendezi kuishi na madeni huku mnaminya pua tu [emoji196]faivu ji[emoji196]

Mlipeni kwanza huyo mwamba aliyewalamba six G ndo muanze kucheza mdundiko wa faivu ji cl[emoji196][emoji196]wahed weye
5G
 
Rafiki yangu usipate shida bana..nimesema ww ndo Priva..yani privaldinho wa Yanga..maana na yeye huwa anapumba kama zako... [emoji23]
Awapi wew[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom