Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Umebeba boga juu ya shingo.Haa sure??
Aliyekanda 5G na aliyekandwa 6G kuna mmoja hapo ana deni 🐸🐸 haiwapendezi kuishi na madeni huku mnaminya pua tu 🐸faivu ji🐸Lkn ndio iliyomkanda kolo 5G
Kabisa kabisaaNimeamini ukianza kushabikia yanga lazima kuna kitu kisiwe sawa kwa head
Ka priva...Ndo Nini mkuu
5GAliyekanda 5G na aliyekandwa 6G kuna mmoja hapo ana deni [emoji196][emoji196] haiwapendezi kuishi na madeni huku mnaminya pua tu [emoji196]faivu ji[emoji196]
Mlipeni kwanza huyo mwamba aliyewalamba six G ndo muanze kucheza mdundiko wa faivu ji cl[emoji196][emoji196]wahed weye
Utaota leo...What's it
Rafiki yangu usipate shida bana..nimesema ww ndo Priva..yani privaldinho wa Yanga..maana na yeye huwa anapumba kama zako... 😂Daaah Leo hueleweki kabisa