Simba hajawai kufika fainali kumbe la CAFCL hata kabla halijapewa jina hili jipya

Simba hajawai kufika fainali kumbe la CAFCL hata kabla halijapewa jina hili jipya

Munch wa annabelletz47

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
1,885
Reaction score
3,227
Hapa Leo sitaongelea ushabiki kabisa bali tutazungumza kuhusu mpira na mstakabali wa nchi yetu. Basi nieende kwenye point moja kwa moja nchi yetu ya Tanzania inawatu takribani milioni 60, na vijana wakiwa wengi kuliko wazee ambao vijana tunaonekana ndo watu ambao tunaweza kuikomboa nchi yetu katika mambo yanayoikumbuka sasa

Picha linaanza

Haohao vijana tunashindwa kufanya tafiti katika mambo madogomadogo tunakubali kudanganywa na watu wenye akili ndogo wanaojiita wachambuzi ambao wengi elimu zao ni certificate wachache wabahatika kufika angalau degree, swali, je tutaweza kupambana na hawa matapeli kwa hoja wanaolitafuna taifa letu watakavyo ambao wao ujiita wanasiasa ambao wengi elimu yao si haba na wachache ndo wale elimu zao ni zakuokoteza

Inashangaza kijana unashupaza sauti unakubali kusikiliza ngojera za wachambuzi wa simba na yanga ambao ni wachumia tumbo

Ukweli ni kwamba simba hajawahi kufika fainali wala nusu fainali ya caf champion league wala caf winner's bal alifika caf Cup na hakushiriki mwaarabu hata mmoja
 
Ushaidi
Screenshot_2023-04-26_075424.jpg
Screenshot_2023-04-26_075412.jpg
Screenshot_2023-04-26_075326.jpg
Screenshot_2023-04-26_075149.jpg
Screenshot_2023-04-26_075114.jpg
Screenshot_2023-04-26_075058.jpg
Screenshot_2023-04-26_075034.jpg
Screenshot_2023-04-26_075012.jpg
Screenshot_2023-04-26_074522.jpg
Screenshot_2023-04-26_074506.jpg
Screenshot_2023-04-26_074414.jpg
Screenshot_2023-04-26_074357.jpg
Screenshot_2023-04-26_074255.jpg
Screenshot_2023-04-26_074250.jpg
Screenshot_2023-04-26_074245.jpg
Screenshot_2023-04-26_074240.jpg
Screenshot_2023-04-26_074229.jpg
 
Hapa Leo sitaongelea ushabiki kabisa bali tutazungumza kuhusu mpira na mstakabali wa nchi yetu. Basi nieende kwenye point moja kwa moja nchi yetu ya Tanzania inawatu takribani milioni 60, na vijana wakiwa wengi kuliko wazee ambao vijana tunaonekana ndo watu ambao tunaweza kuikomboa nchi yetu katika mambo yanayoikumbuka sasa

Picha linaanza

Haohao vijana tunashindwa kufanya tafiti katika mambo madogomadogo tunakubali kudanganywa na watu wenye akili ndogo wanaojiita wachambuzi ambao wengi elimu zao ni certificate wachache wabahatika kufika angalau degree, swali, je tutaweza kupambana na hawa matapeli kwa hoja wanaolitafuna taifa letu watakavyo ambao wao ujiita wanasiasa ambao wengi elimu yao si haba na wachache ndo wale elimu zao ni zakuokoteza

Inashangaza kijana unashupaza sauti unakubali kusikiliza ngojera za wachambuzi wa simba na yanga ambao ni wachumia tumbo

Ukweli ni kwamba simba hajawahi kufika fainali wala nusu fainali ya caf champion league wala caf winner's bal alifika caf Cup na hakushiriki mwaarabu hata mmoja
BICHWA KUBWA HALINA AKILI.


UKISHAKUWA UTOPOLO UNAKUWA JUHA AUTOMATIÇALLY.
 
Yanga kweli wenye akili ni wawili tu hivi tunavyosema yanga ni mabingwa wa kihistoria huko nyuma walipochukua ubingwa mfumo wa league ulikuwa hivi hivi na wadhamini walikuwa hawa hawa wa leo kweli nimeamini manara kichwani ni empty set hamna kitu pale anafanya yote ili aonekane yeye ni yanga damu wakati inajulikana yule ni simba.
 
Ushahidi umeleta lakini kwa sababu ya mahaba kuna watu watabisha kwa kushupaza shingo zao.

Mala kombe la looser mala sijui tulifika nusu mala fainali duh!!!

Sasa ndio naelewa nini maana ya uwekezaji kwenye mpira na kuanzia Sasa kila mtu atajua Kati ya simba na yanga nani anafanya ujanja ujanja na yupi anawekeza haswa!!

Football ni investment sio siasa za kusema umevaa vist Tanzania halafu ukakataa bilioni 2.5 za wadhamini halafu leo unaenda morroco umevaa jezi za M-bet duh siasa za mpira wa Tanzania naona kabisa zikimalizwa na yanga!!!

Ujanja ujanja kwenye uwekezaji ndio matokeo haya hapo tunayaona na tutaona mengi mtu miaka 5 mwisho robo.


Mwingine miezi 6 anaenda nusu fainali je after 5 years yanga atakuwa wapi ? Endeleeni na siasa za mpira wenzenu yanga wanafanya uwekezaji wa kweli..

Povu toa!!!😆😆😆
 
Ushahidi umeleta lakini kwa sababu ya mahaba kuna watu watabisha kwa kushupaza shingo zao.

Mala kombe la looser mala sijui tulifika nusu mala fainali duh!!!

Sasa ndio naelewa nini maana ya uwekezaji kwenye mpira na kuanzia Sasa kila mtu atajua Kati ya simba na yanga nani anafanya ujanja ujanja na yupi anawekeza haswa!!

Football ni investment sio siasa za kusema umevaa vist Tanzania halafu ukakataa bilioni 2.5 za wadhamini halafu leo unaenda morroco umevaa jezi za M-bet duh siasa za mpira wa Tanzania naona kabisa zikimalizwa na yanga!!!

Ujanja ujanja kwenye uwekezaji ndio matokeo haya hapo tunayaona na tutaona mengi mtu miaka 5 mwisho robo.


Mwingine miezi 6 anaenda nusu fainali je after 5 years yanga atakuwa wapi ? Endeleeni na siasa za mpira wenzenu yanga wanafanya uwekezaji wa kweli..

Povu toa!!!😆😆😆
Nakazia
 
Yanga kweli wenye akili ni wawili tu hivi tunavyosema yanga ni mabingwa wa kihistoria huko nyuma walipochukua ubingwa mfumo wa league ulikuwa hivi hivi na wadhamini walikuwa hawa hawa wa leo kweli nimeamini manara kichwani ni empty set hamna kitu pale anafanya yote ili aonekane yeye ni yanga damu wakati inajulikana yule ni simba.
Cc:Rage
 
Ushahidi umeleta lakini kwa sababu ya mahaba kuna watu watabisha kwa kushupaza shingo zao.

Mala kombe la looser mala sijui tulifika nusu mala fainali duh!!!

Sasa ndio naelewa nini maana ya uwekezaji kwenye mpira na kuanzia Sasa kila mtu atajua Kati ya simba na yanga nani anafanya ujanja ujanja na yupi anawekeza haswa!!

Football ni investment sio siasa za kusema umevaa vist Tanzania halafu ukakataa bilioni 2.5 za wadhamini halafu leo unaenda morroco umevaa jezi za M-bet duh siasa za mpira wa Tanzania naona kabisa zikimalizwa na yanga!!!

Ujanja ujanja kwenye uwekezaji ndio matokeo haya hapo tunayaona na tutaona mengi mtu miaka 5 mwisho robo.


Mwingine miezi 6 anaenda nusu fainali je after 5 years yanga atakuwa wapi ? Endeleeni na siasa za mpira wenzenu yanga wanafanya uwekezaji wa kweli..

Povu toa!!![emoji38][emoji38][emoji38]
Hayo ni matacle yenu????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]utopolo ni mzigo
Screenshot_20230426-123542~2.jpg
 
Back
Top Bottom