Simba hamtaelewa kwanini tunalilia Neutral Grounds kwenye fainali mpaka mtakapofika fainali

Simba hamtaelewa kwanini tunalilia Neutral Grounds kwenye fainali mpaka mtakapofika fainali

Teh teh teh teh
Kama ulivyochakazwa na mpemba eeeeh?
Mpemba effect ni noma sana,imetuharibia vijana wetu kabisa.
Wanaume wote wamekaa kimya,wewe ambaye huko nyuma kunatekenya hulali kwa ajili yangu,unataka paipu,mimi sikutaki nenda huko unanuka!
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!

Hili jambo mnalishadadia kwasababu hamuelewi tunachomaanisha mashabiki wenye akili timamu wa Yanga hadi pale siku mtakapofika fainali(sijui itakuwa baada ya miaka mingapi) ila ni kwamba kwasasa hamuwezi elewa hadi mkutwe!

Ni hayo tu.
Yanga ilikuwa mshinde 1 bila hapa Dar then Algeria mfungwe 2 kwa 1 mngekuwa mabingwa wa shirikisho.
Mnamsifia Nabi lakini final ya Dar alichemka sana na ndio maana alikuwa anatokwa na machozi kwa upuuzi wake aliofanya.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!

Hili jambo mnalishadadia kwasababu hamuelewi tunachomaanisha mashabiki wenye akili timamu wa Yanga hadi pale siku mtakapofika fainali(sijui itakuwa baada ya miaka mingapi) ila ni kwamba kwasasa hamuwezi elewa hadi mkutwe!

Ni hayo tu.
Simba amecheza fainali 1993 tena nyumbani na ugenini. Hivyo hakuna jipya.
 
Wanaume wote wamekaa kimya,wewe ambaye huko nyuma kunatekenya hulali kwa ajili yangu,unataka paipu,mimi sikutaki nenda huko unanuka!
Hahaaaaa,kumbe una wanaume wengi,nilijua nipo peke yangu,umejua nanuka kwa kuwa na mimi nimekuweka,nanuka haswaaa
 
Back
Top Bottom