Simba hamtaelewa kwanini tunalilia Neutral Grounds kwenye fainali mpaka mtakapofika fainali

Teh teh teh teh
Kama ulivyochakazwa na mpemba eeeeh?
Mpemba effect ni noma sana,imetuharibia vijana wetu kabisa.
Wanaume wote wamekaa kimya,wewe ambaye huko nyuma kunatekenya hulali kwa ajili yangu,unataka paipu,mimi sikutaki nenda huko unanuka!
 
Yanga ilikuwa mshinde 1 bila hapa Dar then Algeria mfungwe 2 kwa 1 mngekuwa mabingwa wa shirikisho.
Mnamsifia Nabi lakini final ya Dar alichemka sana na ndio maana alikuwa anatokwa na machozi kwa upuuzi wake aliofanya.
 
Masikini akipata ng'ombe moja matako hulia mbwata.
 
Simba amecheza fainali 1993 tena nyumbani na ugenini. Hivyo hakuna jipya.
 
Wanaume wote wamekaa kimya,wewe ambaye huko nyuma kunatekenya hulali kwa ajili yangu,unataka paipu,mimi sikutaki nenda huko unanuka!
Hahaaaaa,kumbe una wanaume wengi,nilijua nipo peke yangu,umejua nanuka kwa kuwa na mimi nimekuweka,nanuka haswaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…