Wanaamini sema wanakifanya kujifaragua.Hawaamini macho yao
Kwikwikwikwi..."tunataka na sisi caf watupositi",nani kakwambia caf wanaposti mataahira?
Wanashingilia ushindi wa Namungo zama zile badala ya ule wa jana.Utomax taarifa iwafikie, Mnyama kaua uko 3-1. Anakuja kumaliza kazi kwa Mkapa na kuingia makundi CAF, billion 1 kibindoni.