Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Heee umeniqoute mimi nani? Bora ungeniita mtibwa sukari ila sio topoloEndelea kuugua huko ulipo , Topolo la hovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heee umeniqoute mimi nani? Bora ungeniita mtibwa sukari ila sio topoloEndelea kuugua huko ulipo , Topolo la hovyo
Ndo naona na mimi muda huuMbona kama hujamwelewa,tangu lini Kalpana akawa topolo?
Vipi hapo, bado unabii unasimama? Wengine muwe mnakaa kimya tu, mikoba ya uchawi mliyorithishwa inawasumbuaKwa ufupi huu sio nimeita utabiri kutokana na dhana ilivyo kwa sasa ,hasa kipindi hiki cha betting
IKO HIVI:
1. Yanga anaenda kuwa BINGWA WA NGAO YA JAMII PALE MKWAKWANI TANGA, nina uhakika asilimia 100, wanasimba wenzangu hata msipoteze muda , kivyovyote itakavyokuwa YANGA BINGWA.
1. Msimu jana reference ya ubovu wa kikosi simba ilikuwa ni SAWADOGO, msimu huu reference ya ubovu wa simba itakuwa kwa mchezaji fulani alisajiliwa kwa mbwembwe sana , leo atapoteana kila mwanasimba hatakuwa tayari hata kumuona tena uwanjani
2. Utakuwa mwanzo wa kukosa makombe yote ya ndani.