Simba hawakustahili kulalamikia penalty

Simba hawakustahili kulalamikia penalty

redio

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2016
Posts
5,813
Reaction score
12,921
Kwa mujibu wa baadhi ya mashabiki wa Simba wamelalamikia Penalty wanayo dai kunyimwa dakika za majeruhi katika mechi ya 8/8 /2024.

Ukiangalia kupitia marudio ya television Ule mpira wa kross uliopigwa kuelekea langoni mwa Yanga dakika za majeruhi na kusababisha baadhi ya mashabiki wa Simba kudhani walinyimwa Penalty, Ulianza kuchezwa na Freddy Michael Koblan kwa kichwa uku akiwa ametumia mikono kupanda kwenye Mabega ya Ibrahim Bacca ambaye ni Beki wa Yanga ili ku kuufikia na ku ucheza kwa Kichwa.

Mpira huo ukamfikia Kelvin Kijiri ambaye baadhi ya mashabiki wanataka refa ange wazawadia Simba penalty kwakua Ibrahim Bacca alimchezea faul Kijiri.

Katika Hali ya kawaida ilitakiwa refa apulize filimbi ya faul na kuelekeza mpira ulekee Goli la Simba baada ya Freddy kumfanya Ibrahim Bacca Ngazi ili aucheze mpira wa kichwa ulio zua utata wa Penalty tata.

Pia soma:FULL TIME: Yanga SC 1-0 Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024
 
Sis
Ngoja waje utapopolewa leo hutaamin
[/QUOTE
Najaribu kuelekea tukio Zima lilivyo tokea ili mashabiki waweze kwenda kurudia kupitia marudio ya Tv na kujiridhisha kabla ya ku lalamika itasaidia kuondoa malalamiko hewa.
 
Katika Hali ya kawaida ilitakiwa refa apulize filimbi ya faul na kuelekeza mpira ulekee Goli la Simba baada ya Freddy kumfanya Ibrahim Bacca Ngazi ili aucheze mpira wa kichwa ulio zua utata wa Penalty tata.
Kwa hiyo unataka kusema mwamuzi hakutoa penati kwa kuwa alijua kabisa alitangulia kumuachia Freddy kumpanda Baka kabla Baka hajafanya faulo?
 
Manguruwe FC wanalilia penalty wakati timu yao wote under 20?
 
Simba wanadhubutu kumlalamikia refa kweli????? badala ya kumshukuru kwa mbeleko lasi hivyoo mnara ungesoma jana.
 
Kwa hiyo unataka kusema mwamuzi hakutoa penati kwa kuwa alijua kabisa alitangulia kumuachia Freddy kumpanda Baka kabla Baka hajafanya faulo?
Kwa uzoefu wa mwamuzi uyu sielewi kwanini alikua akikosea katika maamuzi muhimu na zaidi ya maamuzi ma nne ukiacha faul ndogo ndogo.
Yeye Mwamuzi ndiye anaye jua kiuhalisi Nini alikua amekusudia
Kwa hiyo unataka kusema mwamuzi hakutoa penati kwa kuwa alijua kabisa alitangulia kumuachia Freddy kumpanda Baka kabla Baka hajafanya faulo?
Kwa hiyo unataka kusema mwamuzi hakutoa penati kwa kuwa alijua kabisa alitangulia kumuachia Freddy kumpanda Baka kabla Baka hajafanya faulo?
 
Back
Top Bottom