Sole Proprietor
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 223
- 254
Hiyo inaitwa transfer clause. Wakati wa uhamisho huwa zinawekwa hasa timu zinazojiendesha kibiashara. Kuna asilimia zitakazoenda kwenye timu zilizohusika katika maendeleo ya mchezaji. Sasa kama timu haikufanya kisheria na kusisitiza kupata chochote kama mchezaji atauzwa. Ndio maana academy za ulaya zinatoa wachezaji wengi lakini wanatumia wachache kwenye timu zao. Hao wengine waliobaki watakuwa wakila mrabaha tu kwa kila wanapokwenda. Mchezaji huigharimu academy pesa nyingi mpaka anapotoka ndio maana wanaweka clause ya kupata chochote endapo atauzwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha dah mkuu hebu naomba niwekee hapa kifungu hicho cha sheria kinachotaka kila mchezaji akihama team zote alizochezea zipewe mgawo. Au nipe hata link mahali hiyo sheria ilipo nikaongeze maarifa ya soka.
Nachoweza kukuambia ukileta hicho kifungu cha sheria hapa basi leo leo naacha kushabikia soka. Dah mda mwingine chuki inafanya akili za watu zinakuwa full of shonde
Sent using Jamii Forums mobile app