Kama club bingwa ya kuzabwa hivyo kaeni tu hukoSimba ipo klabu bingwa, nyie mko wapi?
Naona utopolo mmesharidhika na kufeli kwenu, hovyo kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna club kubwa inapigwa bao tatu homeSimba ni club kubwa hilo halina ubishi...hata mtukejeli vipi huo ndo ukweli...matokeo ya mpira haya ni nani hajawai kupigwa??
-Robertinho haondoki
-Gari kurudi kinyume nyume ni mbwembwe kama mbwembwe zingine acheni kuamini kila kitu ni ushirikina.
-Jezi zije tuu mimi ninataka pea kumi
-Mkimrudisha kisinda kwao na Sawadogo nae atarudi
Sisi ndo mara ya kwanza na ni bahati yao tuu....ila nyie nikitaja timu zilizowabamiza hapo kwa mkapa mpk huruma..Hakuna club kubwa inapigwa bao tatu home
Hatuja wahi fungwa tatu home, nefaSisi ndo mara ya kwanza na ni bahati yao tuu....ila nyie nikitaja timu zilizowabamiza hapo kwa mkapa mpk huruma..
Hahahhhaha wabobevu wa kipigo cha ndaniHatuja wahi fungwa tatu home, nefa
We MBU MBU MBU kasema kweli Rage umejisahaulisha mlipigwa 3 na JWANENG GALAXY unabana pua ati mara ya kwanza tundu lishakuwa kubwa kutobolewa tatu siyo mara ya kwanza au labda ulikua hujaja mjiniHatuja wahi fungwa tatu home, nefa
amepata Nini huko mpaka Sasa?Simba ipo klabu bingwa, nyie mko wapi?
Naona utopolo mmesharidhika na kufeli kwenu, hovyo kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vipigo mujarabuamepata Nini huko mpaka Sasa?