Simba hii bado haina muunganiko, kataeni mnavyokataa ila ndio ukweli

Simba hii bado haina muunganiko, kataeni mnavyokataa ila ndio ukweli

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Naelewa Mashabiki wa Bongo issue kwao huwa ni matokeo tu wakipata magoli au ushindi ila Team inacheza hovyo wao ni kwishaa.

Na hapa sipo kuwaambia kuwa tarehe 8 mtafungwa.

Pitia saiv Youtube pale kuna Interview zinatembea mashabiki wanatoa hadi machozi wanasema hii simba waliyosajiliwa ya sasahivi ni ya moto hawajawahi ona😁😁

Hivi msomaji Kweli na wewe kwa akili zako ile simba unaiona imekamilika?

Yale magoli yaliyofungwa jana uliyaona kuna mfumo umetengenezwa kuyapata?

Kama utakaza shingo nitakukumbusha kipindi cha Robetinho mlikaza hivhiv shingo wakati Team inashinda 1-0 za mfululu na Team inacheza mpira hauelewekwi mwisho mkaja kuumbuka Droo zilivyoanza kuwafata na vipigo juu.

Na Team ikawa haifungi maana magoli mnayapata kiuchawichawi hakuna sayansi ya kupata magoli so mkibanwa kidogo tu hamna mfumo wa kutusua.

In short mi sisemei hapa kuwaambia matokeo ya tarehe 8 au kuwatisha kua mtafungwa NO.

Mnaweza shinda hio Tarehe 8 kama mlivyoshinda Last season kwa kupaki basi na kukaza ila mwishoe mkaumbuka Ligi ilivyoanza.

Team bado inahitaji mda msijipe matumaini kua mpo tayar No hizo damu changa zinacheza kila mtu kivyake.

#HappyYangaDay
 
Kupata muunganiko kwa kikosi na kocha mpya ni mchakato wa muda mrefu sana.

Labda hadi january huko, labda simba unaweza kusema timu ipo.

So far, kuna mwangaza kidogo unaonekana. Fadlu amejitahidi hata hapo timu ilipofika.

TEN HAG yupo mwaka wa pili sasa hata style of play hana.

Kusuka timu mpya si mchezo.

Ila zile space walizokuwa wanaacha jana, kama watarudia kufanya hivyo tarehe nane basi ni kumfatua Aziz Ki Hattrick tu.
 
Naelewa Mashabiki wa Bongo issue kwao huwa ni matokeo tu wakipata magoli au ushindi ila Team inacheza hovyo wao ni kwishaa.

Na hapa sipo kuwaambia kuwa tarehe 8 mtafungwa.

Pitia saiv Youtube pale kuna Interview zinatembea mashabiki wanatoa hadi machozi wanasema hii simba waliyosajiliwa ya sasahivi ni ya moto hawajawahi ona[emoji16][emoji16]

Hivi msomaji Kweli na wewe kwa akili zako ile simba unaiona imekamilika?

Yale magoli yaliyofungwa jana uliyaona kuna mfumo umetengenezwa kuyapata?

Kama utakaza shingo nitakukumbusha kipindi cha Robetinho mlikaza hivhiv shingo wakati Team inashinda 1-0 za mfululu na Team inacheza mpira hauelewekwi mwisho mkaja kuumbuka Droo zilivyoanza kuwafata na vipigo juu.

Na Team ikawa haifungi maana magoli mnayapata kiuchawichawi hakuna sayansi ya kupata magoli so mkibanwa kidogo tu hamna mfumo wa kutusua.

In short mi sisemei hapa kuwaambia matokeo ya tarehe 8 au kuwatisha kua mtafungwa NO.

Mnaweza shinda hio Tarehe 8 kama mlivyoshinda Last season kwa kupaki basi na kukaza ila mwishoe mkaumbuka Ligi ilivyoanza.

Team bado inahitaji mda msijipe matumaini kua mpo tayar No hizo damu changa zinacheza kila mtu kivyake.

#HappyYangaDay
Kimsingi simba ana timu nzuri kulinganisha na simba ya msimu uliopita. Lakini kuilinganisha Simba na Yanga kwa sasa ni kosa kubwa kulifanya kwa simba. Yanga ipo hatua kadhaa mbele.
 
Kupata muunganiko kwa kikosi na kocha mpya ni mchakato wa muda mrefu sana.

Labda hadi january huko, labda simba unaweza kusema timu ipo.

So far, kuna mwangaza kidogo unaonekana. Fadlu amejitahidi hata hapo timu ilipofika.

TEN HAG yupo mwaka wa pili sasa hata style of play hana.

Kusuka timu mpya si mchezo.

Ila zile space walizokuwa wanaacha jana, kama watarudia kufanya hivyo tarehe nane basi ni kumfatua Aziz Ki Hattrick tu.
Shabiki hoya hoya anaelewa nini hapa.mkuu..wao wanakuambia subiria tarehe 8 simba watapoteana
 
Kupata muunganiko kwa kikosi na kocha mpya ni mchakato wa muda mrefu sana.

Labda hadi january huko, labda simba unaweza kusema timu ipo.

So far, kuna mwangaza kidogo unaonekana. Fadlu amejitahidi hata hapo timu ilipofika.

TEN HAG yupo mwaka wa pili sasa hata style of play hana.

Kusuka timu mpya si mchezo.

Ila zile space walizokuwa wanaacha jana, kama watarudia kufanya hivyo tarehe nane basi ni kumfatua Aziz Ki Hattrick tu.
Mkuu kuna mifumo hua inakulazimu kuacha spaces?
 
Ukiujua mpira huwezi kuumia,tatizo wasiojua mpira sasa kelele,wanapenda ndani ya dk tano ,wanaponda ndani ya sekunde moja.
 
Back
Top Bottom