William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Niseme tu labda siwafahamu De Agosto vizuri. Lakini mpira wa Jumapili wa Simba sikuelewa, butu butu nyingi.
Ubora wa timu niliouona kwa Mgunda ni ifuatayo;
Uchaguzi mzuri wa wachezaji.
1. Niliona mapungufu ya Quatara yakifanyiwa kazi. Na Kanute anakuwa mzuiaji wa chini kabisa. Anazuia mipira ya juu na kwa ushirikiano mzuri na Onyango. Pia Chama na okra kuwa huru kucheza mpira, sivyo kocha alivyoondoka anavyotaka.
2. Timu imekuwa hatari sana mwishoni. Unaona Chama anaprogramu mazoezini. Goli la Phiri ni Chama mtupu. Unaona wachezaji wana uhuru wa kufanya na kuongeza programu zao mazoezini kabisa.
Madhaifu ya kufanyia kazi
Lazima Simba irudishe utulivu. Simba siyo ya kubutua butua hivyo. Simba siyo ya kupanda yote na kurudi kidogo kidogo. Simba unakoswa magoli.
Hata kama tunafanya mashambulizi ya kushitukiza yapite kwenye njia, kwa uhakika na mipango, tusiangalie matokeo. Wakicheza hivyo makundi, robo hatutoboi.
Makosa ya Nigeria mwaka 1998. June 13 anashinda 3-2 dhidi ya Spain kwa pira la hivi hivi. Denmark inawasoma. 16 Bora watu wanaweka hesabu vizuri wanalala 4-0 watu wanasema wamehongwa. Piga mashuti ya mbali nje.
Tulimchukia sana okocha. Pamoja na ushindi Simba inatakiwa kuwa watulivu sana. Enonga na Onyango wacheze Tena Mpira waache pasi ndeefu Kama minazi zisizo na macho.
Ubora wa timu niliouona kwa Mgunda ni ifuatayo;
Uchaguzi mzuri wa wachezaji.
1. Niliona mapungufu ya Quatara yakifanyiwa kazi. Na Kanute anakuwa mzuiaji wa chini kabisa. Anazuia mipira ya juu na kwa ushirikiano mzuri na Onyango. Pia Chama na okra kuwa huru kucheza mpira, sivyo kocha alivyoondoka anavyotaka.
2. Timu imekuwa hatari sana mwishoni. Unaona Chama anaprogramu mazoezini. Goli la Phiri ni Chama mtupu. Unaona wachezaji wana uhuru wa kufanya na kuongeza programu zao mazoezini kabisa.
Madhaifu ya kufanyia kazi
Lazima Simba irudishe utulivu. Simba siyo ya kubutua butua hivyo. Simba siyo ya kupanda yote na kurudi kidogo kidogo. Simba unakoswa magoli.
Hata kama tunafanya mashambulizi ya kushitukiza yapite kwenye njia, kwa uhakika na mipango, tusiangalie matokeo. Wakicheza hivyo makundi, robo hatutoboi.
Makosa ya Nigeria mwaka 1998. June 13 anashinda 3-2 dhidi ya Spain kwa pira la hivi hivi. Denmark inawasoma. 16 Bora watu wanaweka hesabu vizuri wanalala 4-0 watu wanasema wamehongwa. Piga mashuti ya mbali nje.
Tulimchukia sana okocha. Pamoja na ushindi Simba inatakiwa kuwa watulivu sana. Enonga na Onyango wacheze Tena Mpira waache pasi ndeefu Kama minazi zisizo na macho.