Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Yanga amemfunga Azam jana na kuingia final, hongereni lakn timu hawana, Yanga kumfunga azam ni kawaida t, ameshamfunga mara ya 5 Leo, kuna watumishi pale sio waadilifu ndio maana yanga wanajiokotea tu, mtalaumu benchi lkn wapo baadhi watumishi wenye mapenzi na yanga na ndio wanaouza ishu, hata wakirudiana tena Leo, azam atafungwa tu.Azam wamewakaribisha jikoni Yanga kwa hiyo ishakula kwao.
Yanga ile ya jana ikutane na winga Onana, winga Micquisone, kati Fabrice Ngoma, muuaji Baleke au Phiri, kudadeki naenda kujizika mwenyewe chumbageni.Njia mnazotumia kupata ushindi Simba walishazipitia kitambo na wanazijua mara 100 yake, hiyo kutoa sadaka kwa yatima cjui kutoa damu sijui kuzika majina ya wachezaji makaburini, mtajua wenyewe
Yanga ile ya jana ikutane na winga Onana, winga Micquisone, kati Fabrice Ngoma, muuaji Baleke au Phiri, kudadeki naenda kujizika mwenyewe chumbageni.Njia mnazotumia kupata ushindi Simba walishazipitia kitambo na wanazijua mara 100 yake, hiyo kutoa sadaka kwa yatima cjui kutoa damu sijui kuzika majina ya wachezaji makaburini, mtajua wenyewe