Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mungu ibariki SIMBA[emoji419][emoji375]Golini Caique Santos, kulia Kapombe, kushoto Tshabalala, Nne Inonga, kitasa Che Malone, Six Fabrice Ngoma, Winga Kramo, winga Onana, Nane Triple C, Tisa Baleke Kumi Ntibazonkiza au Phiri.
Aiseeeeeeeee, aje Mamelodi, aje Al Ahly au mjinga yeyote yule.
aahhaaa...sisi hapa babu kaju+aucho mbele yao muda,juu maxi,mzize na musonda,pale berlin kuna bacca+nyeto+job+mutambala...mbona NBC msimu huu tunalokota tena,tunapangusa kitu pwani😛😛😛Golini Caique Santos, kulia Kapombe, kushoto Tshabalala, Nne Inonga, kitasa Che Malone, Six Fabrice Ngoma, Winga Kramo, winga Onana, Nane Triple C, Tisa Baleke Kumi Ntibazonkiza au Phiri.
Aiseeeeeeeee, aje Mamelodi, aje Al Ahly au mjinga yeyote yule.
Golini Caique Santos, kulia Kapombe, kushoto Tshabalala, Nne Inonga, kitasa Che Malone, Six Fabrice Ngoma, Winga Kramo, winga Onana, Nane Triple C, Tisa Baleke Kumi Ntibazonkiza au Phiri.
Aiseeeeeeeee, aje Mamelodi, aje Al Ahly au mjinga yeyote yule.
Jamaa ana kitu huyu asipuuzweGolini Caique Santos, kulia Kapombe, kushoto Tshabalala, Nne Inonga, kitasa Che Malone, Six Fabrice Ngoma, Winga Kramo, winga Onana, Nane Triple C, Tisa Baleke Kumi Ntibazonkiza au Phiri.
Aiseeeeeeeee, aje Mamelodi, aje Al Ahly au mjinga yeyote yule.
Lugha sio tatizo labda awe hana uwezoBinafsi Sina IMANI na wachezaji wanaotoka Nje ya Africa.
Simba na Santos wameshindwana.
1. Lugha anayotumia kileno ni changamoto kuwapanga Mabeki wanaoongea kiingeleza na kifaransa na kiswahili.
2. Simba wamehofia KUJIRUDIA ishu za DEJAN Jaja Mohamed Ottara nk.
Kunataarifa wanahitaji Golikipa kutoka Cameroon.
This is 2023 na bado mnaleta visingizio vya kwamba someone can't do something sababu ya language barrier, kweli..??Binafsi Sina IMANI na wachezaji wanaotoka Nje ya Africa.
Simba na Santos wameshindwana.
1. Lugha anayotumia kileno ni changamoto kuwapanga Mabeki wanaoongea kiingeleza na kifaransa na kiswahili.
2. Simba wamehofia KUJIRUDIA ishu za DEJAN Jaja Mohamed Ottara nk.
Kunataarifa wanahitaji Golikipa kutoka Cameroon.
Duuu! Wabongo wawili tu?Golini Caique Santos, kulia Kapombe, kushoto Tshabalala, Nne Inonga, kitasa Che Malone, Six Fabrice Ngoma, Winga Kramo, winga Onana, Nane Triple C, Tisa Baleke Kumi Ntibazonkiza au Phiri.
Aiseeeeeeeee, aje Mamelodi, aje Al Ahly au mjinga yeyote yule.
Huyo mtu Ngoma ni hatari sijui km kwa miaka ya karibuni tumewahi kuwa na level yake TzGolini Caique Santos, kulia Kapombe, kushoto Tshabalala, Nne Inonga, kitasa Che Malone, Six Fabrice Ngoma, Winga Kramo, winga Onana, Nane Triple C, Tisa Baleke Kumi Ntibazonkiza au Phiri.
Aiseeeeeeeee, aje Mamelodi, aje Al Ahly au mjinga yeyote yule.