Simba hii vilio basi, Wababe wa Ulaya kutoka Moscow nusura walale na viatu

Simba hii vilio basi, Wababe wa Ulaya kutoka Moscow nusura walale na viatu

Namaanisha hawa CSKA waliwazabua Real Madrid 3-0 kwaio kama Madrid ndio bingwa wa Ulaya basi hawa CSKA ni Wababe wa mabingwa wa ulaya. Ila [emoji120][emoji120] kwa mchango wako ulilenga kujenga
Saud arabia vs argentina wc 2022,unajua mwenyew who had the last laugh.

Anyways am happy for SSC
 
Klabu kubwa hapa afrika Simba mnyama mkali leo imetoshana nguvu na vigogo wa soka barani ulaya CSKA Moscow kwa kufungana magoli 2-2 katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliopigwa huko Dubai.

Magoli yote mawili ya Mnyama mkali Simba yametiwa kimiani na Mshambuliaji mkali Habib kyombo (Halland wa bongo)

Baada ya kumaliza mechi zake za kimataifa za kirafiki, timu ya Simba itaanza safari ya kurudi nchini iyo kesho jumatatu kujiandaa na mchezo wa ligi ya Nbc dhidi ya mbeya city unaotarajia kupigwa jumatano ya tarehe 18/Jan
Na akuna haja ya kusajili kyombo anatosha kaweka 2 peke yake na kibudenga kocha kamkubali hii simba itatoboa mpaka nusu fainali labda tuongezee wachezaji wachache walioachwa na timu zao ili kuongeza nguvu kwenye kikosi🤣
 
Klabu kubwa hapa afrika Simba mnyama mkali leo imetoshana nguvu na vigogo wa soka barani ulaya CSKA Moscow kwa kufungana magoli 2-2 katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliopigwa huko Dubai.

Magoli yote mawili ya Mnyama mkali Simba yametiwa kimiani na Mshambuliaji mkali Habib kyombo (Halland wa bongo)

Baada ya kumaliza mechi zake za kimataifa za kirafiki, timu ya Simba itaanza safari ya kurudi nchini iyo kesho jumatatu kujiandaa na mchezo wa ligi ya Nbc dhidi ya mbeya city unaotarajia kupigwa jumatano ya tarehe 18/Jan
Una heka heka na habari za Simba,tutamwambia Ahmed Ally akufikirie japo kwa bundle la 5000 japo wewe ni @@utopolo og
 
Sijui unaripoti kutokea Dubenga au uko wapi nikupe Wine kutoka Dodoma hapa....
Huyu inabidi apate a carton of wine kutoka kwa Fiorenzo wa CETAWICO,siyo kwa heka heka hizi za kureport habari za Simba
 
Hivi Yanga yangu wanachezaga na tim gani mechi za kirafiki ?
Wanachezeaga wapi ?

Nauliza tu kwakuwa mi nimgeni hapa mjini.
 
Back
Top Bottom