Simba hili kundi tutachukua points kwa nani?

Sijui lakini!! kwa kundi hili simba njia ni nyeupe kuingia robo fainali..kwa sababu sioni timu ya kuifunga simba hapa kwa mkapa ila naona simba inaweza kulazimisha draw hata mbili ugenini..
Ukicheza wewe itakuwa hivyo.
 
Tulitoboa kundi la Al Ahly, AS Vita, na Al Merrikh.

Wao pia walipoona Simba yupo kundi moja nao kihoro kimewapata.

Florent Ibenge ( RS Berkane) tushamtoa ×2 kwenye CAF CL tournaments.

Simba sc ni team imara, Inshallah tutatoboa.
Usikariri maisha. Ulikuwa kundi moja na AL Ahly, lakini AL Ahly yuko na nani na Simba yuko na nani.
 
Jiandae kupokea wageni (mapokezi fc). Hiyo ndiyo kazi yenu. Haya mengine mwachie baba wa kaya simba mwenyewe. Kazi ya watoto na mama wa nyumbani ni kupokea wageni tu. Haya mengine ni kuingilia majukumu yasiyo kuhusu. Sawa mama j?
Baba wa kaya analeta nini? Simba awe baba wa kaya na AL Ahly awe nani nyie mbumbumbu?
 
Yanga hajawahi fika makundi kwenye champions league mkuu. Ila kwenye shirikisho alifika sawasawa na Namungo tu
Hujawahi wewe. Halafu acha kufananisha Yanga na vitu vya kijinga(Namungo). 1998 alifika makundi CL, 2016 makundi CC alipangwa kundi moja na Mazembe na 2018 na akapangwa kundi moja na Gor Mahia.
 
Hujawahi wewe. Halafu acha kufananisha Yanga na vitu vya kijinga(Namungo). 1998 alifika makundi CL, 2016 makundi CC alipangwa kundi moja na Mazembe na 2018 na akapangwa kundi moja na Gor Mahia.

Somo la Historia darasa la nne B[emoji3]
 
Hivi washabiki wa Yanga huwa mna akili kweli? Mnategemea mabaya tu kila mara kwa mwakilishi wenu?

Kwa roho zenu hizo za kichawi mtakaa sana!

Simba amewazidi mbali mno, mtakubali baadae!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…