Simba hili kundi tutachukua points kwa nani?

Hili kundi tunapiga wote nje ndani sisi ni wakubwa wa African super league
 
Simba ya mwaka ni tofauti sana na misimu iliyopita sitashangaa akipokea vichapo na kuburuza mkia
 
Bro, kwa ubora wa kikosi chetu kwa sasa nina wasiwasi.Kingekuwa kile cha mwaka jana yes, Yote kwa yote
tuone performance ya mechi ya kwanza ndo tutapata majibu.Ila angalizo lako la hao wengine (UTOPOLO) naomba lizingatiwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…