THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Hawa bila Chama hawawezi kushinda, huyo Onana hovyo tu, Bocco hamna kitu, mableach wao ndio kabisa.Unajua haya Maisha usiruhusu kitu kikuzoeee kikikuzoea kina Jenga Makazi kina kua kama Part of your Life hata kama kulikua ni Temporary.
#Simba Jiangalieni hapo Mtaa wa 3 mnaweza msitoke.
View attachment 2850913
Maji yanaanza kujitenga na mafuta taratibuHawa bila Chama hawawezi kushinda, huyo Onana hovyo tu, Bocco hamna kitu, mableach wao ndio kabisa.
Timu imebadilika chini ya benchikha wanaupiga mwingi si mnaona jamani🤣🤣🤣🤣📌📌📌Unajua haya Maisha usiruhusu kitu kikuzoeee kikikuzoea kina Jenga Makazi kina kua kama Part of your Life hata kama kulikua ni Temporary.
#Simba Jiangalieni hapo Mtaa wa 3 mnaweza msitoke.
View attachment 2850913
Na Bado Azam anakuja😁😁Timu imebadilika chini ya benchikha wanaupiga mwingi si mnaona jamani🤣🤣🤣🤣📌📌📌
Hii Team haieleweki kiufupiHawa bila Chama hawawezi kushinda, huyo Onana hovyo tu, Bocco hamna kitu, mableach wao ndio kabisa.
Ya uane😁itapendeza wakitimuana na migogoro ya hapa na pale hiyo ndio furaha yetu
Muhasibu wetu OKW BOBAN SUNZU anasemaje?Unajua haya Maisha usiruhusu kitu kikuzoeee kikikuzoea kina Jenga Makazi kina kua kama Part of your Life hata kama kulikua ni Temporary.
#Simba Jiangalieni hapo Mtaa wa 3 mnaweza msitoke.
View attachment 2850913
Kwanini mliwaomba msamaha?Hawa bila Chama hawawezi kushinda, huyo Onana hovyo tu, Bocco hamna kitu, mableach wao ndio kabisa.
Ha ha ha ha haTimu imebadilika chini ya benchikha wanaupiga mwingi si mnaona jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji419][emoji419][emoji419]
Saana mkuu, yaani migogoro yao kwetu ni furaha kubwa sana.itapendeza wakitimuana na migogoro ya hapa na pale hiyo ndio furaha yetu
Kweli mkuu, lile goli lisingerudi haya makelele yote usingeyasikia.Daaah Yaani leo ikatokea simba angeshinda 4 au 3 bila hizi taarifa zisingekuepo[emoji23][emoji23][emoji23]
Bongo hatari