Simba iachane na Kocha Pablo mapema

Simba iachane na Kocha Pablo mapema

Huyo huyo anawafaa,walimleta kwa mbwembwee nyingiii
 
Nakubaliana kwamba huwezi uwe na ma-striker aina ya Boko, Kagere, na Mugaru, halafu tena utake kuchukua klabu bingwa au shirikisho. Huko ni kujenga gorofa wakati huna pesa.

Lakini hutafanya hivyo pia ukiwa na kocha ambae hajui hata kupanga kikosi chake kinachoanza. Namaanisha hana kikosi maalum cha mauaji.

Wala hajui kwamba huyu mchezaji sasa nimtoe, maana haisaidii timu, na makosa mengine kibao. Ndiposa nashauri kwamba Simba iachane naye kungali mapema.

Kwa maana huyu hata ubingwa wa ligi yetu ya wa-hapahapa hachukui, nini shirikisho.

Mwisho: Jamani mkitaka kuwa na mafanikio kwenye mashindano makubwa sajirini wachezaji wazuri, acheni kushobokea sana makocha wa ulaya.

Mbona kuna makocha wazuri wa ligi yetu ya wa-hapahapa wakikupangia kikosi huchomoki.

Haya jamani, msije kusema sikuwaambia!
Na huo ndo ukweli kocha wetu ana uwezo mdogo Sana.Miezi zaidi ya mitatu hata first 11 Hana halfu hajui kupanga kikosi ni kama anabahatisha tu pia inaonekana Hana uhusiano mzuri na wachezaji.
 
Nakubaliana kwamba huwezi uwe na ma-striker aina ya Boko, Kagere, na Mugaru, halafu tena utake kuchukua klabu bingwa au shirikisho. Huko ni kujenga gorofa wakati huna pesa.

Lakini hutafanya hivyo pia ukiwa na kocha ambae hajui hata kupanga kikosi chake kinachoanza. Namaanisha hana kikosi maalum cha mauaji.

Wala hajui kwamba huyu mchezaji sasa nimtoe, maana haisaidii timu, na makosa mengine kibao. Ndiposa nashauri kwamba Simba iachane naye kungali mapema.

Kwa maana huyu hata ubingwa wa ligi yetu ya wa-hapahapa hachukui, nini shirikisho.

Mwisho: Jamani mkitaka kuwa na mafanikio kwenye mashindano makubwa sajirini wachezaji wazuri, acheni kushobokea sana makocha wa ulaya.

Mbona kuna makocha wazuri wa ligi yetu ya wa-hapahapa wakikupangia kikosi huchomoki.

Haya jamani, msije kusema sikuwaambia!
Kwani nyie hadi mnamchukua Nabil hamkumuona Mkwasa,eeeeeeeeeeeebo
 
Huyo leo mnasema hafai namna gani wakati alikuwa kwenye Technical Bench ya Real Madrid au leo mnakiri kwamba zile zilikuwa ni propaganda kama zile za kwenye uwanja wa vita.
 
Yan toka huyo babra awe CEO amna kocha wala mchezaji wa maana aliyeleta amebaki kuwa mtu wa kikiii tu na usharobaro huyo try again amekuwa mropokaji tu Kama mwanasiasa sijui huwa hawaoni timu inayumba kiuchezaji
 
Back
Top Bottom