Simba ibadilike vinginevyo itaweka kambi ya kudumu Robo Fainali

Simba ibadilike vinginevyo itaweka kambi ya kudumu Robo Fainali

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Nimekwenda uwanjani na nimefurahi tumeingia robo fainali.

Lakini kiukwel bado naona kuna mapungufu katika timu yetu.

Leo tungecheza na wakubwa kama Al Ahly au Mamelod au Petro au Esperance mambo yangekuwa magumu.

Kwanini nasema hivi.

Timu bado inafanya sana makosa nyuma, makosa ya dhahiri kabisa, Inonga na Che Malone wanategeana sana, kama tungekutana na washambuliaji wenye njaa leo tungelaumiana.

Viungo Babacar Sarr na Ngoma hawaelewani, kila mmoja anamtegea mwenzake, Sarr ni mzito, piga back pass kila mara, hakabi vizuri, anachelewesha mipira bila sababu.Uchezaji wake unakaribisha sana mashambulizi katika timu na kuadhibiwa inakuwa rahisi.

Pa Omary Jobe na Fredddy ni wapuuzi sana, cjui nani alienda kula hela za Mo Dewji.Hivi kweli timu yenye kiu ya mafanikio inaweza kusajili hawa watu, hata Reliant Lusajo wa Mashujaa ana afadhali.

Hivi c bora tungebakia na Kagere tu tujue moja kuliko wasanii hawa.

Otherwise mnyama asipobadilika wale wanaomtegemea Mganga pale avic town wanakwenda semi final nawaambia.
 
Nimekwenda uwanjani na nimefurahi tumeingia robo fainali.

Lakini kiukwel bado naona kuna mapungufu katika timu yetu...
Sijui kwa nini mlimuacha Phiri, yaani yule kama mngemuacha mapema tulikuwa tuna msajili.Huyu Jobe hata kudrible hajui, kujiposition hayupo vizuri ,kuhifadhi mpira hayuko vizuri yaani hovyo.
 
Kwan nawee kuhamia huko Avic town unasubiri nn ili muende wote Semi final?

Wee em tupishe bhana, tuko buzzy na ushindi wa kibabe na kuingia Robo back to back, hayo makasiriko yako sisi hayatuhusu

Hizo team km Al ahly na wydad tumeshacheza nazo, na hawatusumbui. Tutolee uchuro wako wa majini uchwara yalio feli kwa waarabu OG.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
wanaomtegemea Mganga pale avic town wanakwenda semi final nawaambia.
Ikiwa umevutiwa na hao Uto si uhamie tu huko mkuu!

Simba wana kocha anayenoa wachezaji na ndiye hupanga kikosi.

Mambo ya kuishia robo usisingizie kikosi kibovu, kwenye soka kuna kushinda na kushindwa.

Unaweza kupanga kikosi unachoona kuwa ni bora kabisa na kikapigwa na kutolewa hilo ni jambo la kawaida kabisa katika kandanda.

Mwache kocha afanye kazi na hao unaowaponda kuwa hawawezi kuvuka robo maadam wewe haupo kwenye benchi la ufundi huna la kubadilisha.

Peleka tu mahaba yako kunakokuvutia nadhani ni kule avic town wao wana timu itakayoingia fainali kabisa.
 
Nimekwenda uwanjani na nimefurahi tumeingia robo fainali.

Lakini kiukwel bado naona kuna mapungufu katika timu yetu.

Leo tungecheza na wakubwa kama Al Ahly au Mamelod au Petro au Esperance mambo yangekuwa magumu.

Kwanini nasema hivi.

Timu bado inafanya sana makosa nyuma, makosa ya dhahiri kabisa, Inonga na Che Malone wanategeana sana, kama tungekutana na washambuliaji wenye njaa leo tungelaumiana.

Viungo Babacar Sarr na Ngoma hawaelewani, kila mmoja anamtegea mwenzake, Sarr ni mzito, piga back pass kila mara, hakabi vizuri, anachelewesha mipira bila sababu.Uchezaji wake unakaribisha sana mashambulizi katika timu na kuadhibiwa inakuwa rahisi.

Pa Omary Jobe na Fredddy ni wapuuzi sana, cjui nani alienda kula hela za Mo Dewji.Hivi kweli timu yenye kiu ya mafanikio inaweza kusajili hawa watu, hata Reliant Lusajo wa Mashujaa ana afadhali.

Hivi c bora tungebakia na Kagere tu tujue moja kuliko wasanii hawa.

Otherwise mnyama asipobadilika wale wanaomtegemea Mganga pale avic town wanakwenda semi final nawaambia.
Kifupi yanga km ipo serious kuna wachezaji km 8 hivi wanatakiwa kuachana nao msimu ukiisha.
 
quater final

Simba vs petro de luanda

Simba vs Al ahly

Simba vs mammelodi sundowns


chagua wewe wapi unataka??
 
Kwan nawee kuhamia huko Avic town unasubiri nn ili muende wote Semi final?

Wee em tupishe bhana, tuko buzzy na ushindi wa kibabe na kuingia Robo back to back, hayo makasiriko yako sisi hayatuhusu

Hizo team km Al ahly na wydad tumeshacheza nazo, na hawatusumbui. Tutolee uchuro wako wa majini uchwara yalio feli kwa waarabu OG.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenzenu anatoa ishauri bora unampuuza
 
Sijui kwa nini mlimuacha Phiri, yaani yule kama mngemuacha mapema tulikuwa tuna msajili.Huyu Jobe hata kudrible hajui, kujiposition hayupo vizuri ,kuhifadhi mpira hayuko vizuri yaani hovyo.
Phiri kaachwa? Una uhakika mkuu?
 
Back
Top Bottom