Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,564
- 5,884
Nenda tanescoYani milioni 30 zinatolewa kwenye mambo yasiyo ya msingi huku watu wanateseka umeme hamna!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda tanescoYani milioni 30 zinatolewa kwenye mambo yasiyo ya msingi huku watu wanateseka umeme hamna!
Hajui hata anaongea niniPhiri kaachwa? Una uhakika mkuu?
Mpaka hiki nacho unataka kubisha, haya kwani kwenye list ya majina wachezaji wa kigeni unamuona Phiri au hujui tayari kishapata timu Zambia.Phiri kaachwa? Una uhakika mkuu?
Kabisaa mkuu. Leo kabla ya mechi kaitakia Simba ushindi kwenye ukurasa wakeHajui hata anaongea nini
Mkuu Phili yupo power dynamo ya Zambia kwa mkopo bado ni mchezaji wa Simba. Hata Leo kaitakia ushindi timu yake ya Simba waingie robo fainal kwenye ukurasa wake mtandaoniMpaka hiki nacho unataka kubisha, haya kwani kwenye list ya majina wachezaji wa kigeni unamuona Phiri au hujui tayari kishapata timu Zambia.
Ili uwe bora sharti uwashinde walio bora hakuna shortcutquater final
Simba vs petro de luanda
Simba vs Al ahly
Simba vs mammelodi sundowns
chagua wewe wapi unataka??
na mkifungwa yakutoke hayahaya maneno..Kwan nawee kuhamia huko Avic town unasubiri nn ili muende wote Semi final?
Wee em tupishe bhana, tuko buzzy na ushindi wa kibabe na kuingia Robo back to back, hayo makasiriko yako sisi hayatuhusu
Hizo team km Al ahly na wydad tumeshacheza nazo, na hawatusumbui. Tutolee uchuro wako wa majini uchwara yalio feli kwa waarabu OG.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu acha maneno hayaUmeandika kinyesi tu
Kwan wee Al ahly c kakufunga juzi tyuuh? Au majini uchwara yaliyolewa udi na ubani wa Cairo yamewa sahaulisha? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na mkifungwa yakutoke hayahaya maneno..
Kweli wewe kichwa chako Cha mwendawazimuUbora wa Simba sc kwa sasa imeizidi yanga mara 1000
tulia mtoto mbona mineno inakutoka kama umewekewa pisto kwenye komwe...?!Kwan wee Al ahly c kakufunga juzi tyuuh? Au majini uchwara yaliyolewa udi na ubani wa Cairo yamewa sahaulisha? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa jibu unalo, ikishinda imeshinda na ikifungwa imefungwa, hayo makasiriko yenu yanakujajee?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tulia mtoto mbona mineno inakutoka kama umewekewa pisto kwenye komwe...?!
we angalia mpira timu yako ikishinda ndo imeshinda na ikifungwa ndo imefungwa...
kwenda zako!Sasa jibu unalo, ikishinda imeshinda na ikifungwa imefungwa, hayo makasiriko yenu yanakujajee?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wana uto mna nn nyie? Muwasindikize wageni wenu eyapoti huko.
Saa mbovu mda mwingine usema ukweli🤣🤣Nimekwenda uwanjani na nimefurahi tumeingia robo fainali.
Lakini kiukwel bado naona kuna mapungufu katika timu yetu.
Leo tungecheza na wakubwa kama Al Ahly au Mamelod au Petro au Esperance mambo yangekuwa magumu.
Kwanini nasema hivi.
Timu bado inafanya sana makosa nyuma, makosa ya dhahiri kabisa, Inonga na Che Malone wanategeana sana, kama tungekutana na washambuliaji wenye njaa leo tungelaumiana.
Viungo Babacar Sarr na Ngoma hawaelewani, kila mmoja anamtegea mwenzake, Sarr ni mzito, piga back pass kila mara, hakabi vizuri, anachelewesha mipira bila sababu.Uchezaji wake unakaribisha sana mashambulizi katika timu na kuadhibiwa inakuwa rahisi.
Pa Omary Jobe na Fredddy ni wapuuzi sana, cjui nani alienda kula hela za Mo Dewji.Hivi kweli timu yenye kiu ya mafanikio inaweza kusajili hawa watu, hata Reliant Lusajo wa Mashujaa ana afadhali.
Hivi c bora tungebakia na Kagere tu tujue moja kuliko wasanii hawa.
Otherwise mnyama asipobadilika wale wanaomtegemea Mganga pale avic town wanakwenda semi final nawaambia.
Na hata kwehe bio yake,bado anaonesha yeye ni mali ya simba,na yupo dyamos kwa mkopoKabisaa mkuu. Leo kabla ya mechi kaitakia Simba ushindi kwenye ukurasa wake