Tunajua mbinu za yanga nje ya uwanja ni chafu na kali sana.
Tutaendelea kuona wachezaji bora wa Simba wakiumia na kujitibia muda mrefu,ama wakicheza chini ya kiwango kutokana na mbinu chafu za hii timu nje ya uwanja.
Hizi mambo ya kuchinja ng'ombe na kunywesha watu supu sio nzuri kabisa
Simba mtaendelea kubananga pamoja na kusajiki MVP ila hamtaona ubora wake kama vile tu ilitokea kwa Aubin Kramo na wengine kuonekana wazito kisha mnawaacha.
Yanga ni zaidi ya timu.Ni kikosi maalum cha waganga wa kienyeji
Tutaendelea kuona wachezaji bora wa Simba wakiumia na kujitibia muda mrefu,ama wakicheza chini ya kiwango kutokana na mbinu chafu za hii timu nje ya uwanja.
Hizi mambo ya kuchinja ng'ombe na kunywesha watu supu sio nzuri kabisa
Simba mtaendelea kubananga pamoja na kusajiki MVP ila hamtaona ubora wake kama vile tu ilitokea kwa Aubin Kramo na wengine kuonekana wazito kisha mnawaacha.
Yanga ni zaidi ya timu.Ni kikosi maalum cha waganga wa kienyeji