Simba ijenge uwanja wake tu,maana kwa uchawi wa Yanga keshatia mguu KMC msitarajie mafanikio yoyote

Simba ijenge uwanja wake tu,maana kwa uchawi wa Yanga keshatia mguu KMC msitarajie mafanikio yoyote

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Tunajua mbinu za yanga nje ya uwanja ni chafu na kali sana.

Tutaendelea kuona wachezaji bora wa Simba wakiumia na kujitibia muda mrefu,ama wakicheza chini ya kiwango kutokana na mbinu chafu za hii timu nje ya uwanja.

Hizi mambo ya kuchinja ng'ombe na kunywesha watu supu sio nzuri kabisa

Simba mtaendelea kubananga pamoja na kusajiki MVP ila hamtaona ubora wake kama vile tu ilitokea kwa Aubin Kramo na wengine kuonekana wazito kisha mnawaacha.

Yanga ni zaidi ya timu.Ni kikosi maalum cha waganga wa kienyeji
 
Tunajua mbinu za yanga nje ya uwanja ni chafu na kali sana.
Tutaendelea kuona wachezaji bora wa Simba wakiumia na kujitibia muda mrefu,ama wakicheza chini ya kiwango kutokana na mbinu chafu za hii timu nje ya uwanja.

Hiyo damu ya kafara wanayotoa kwa kuchinja ng'ombe na kunywesha watu supu ni maelekezo ya kuzimu.

Simba mtaendelea kubananga pamoja na kusajiki MVP ila hamtaona ubora wake kama vile tu ilitokea kwa Aubin Kramo na wengine kuonekana wazito kisha mnawaacha.
Yanga ni zaidi ya timu.Ni kikosi maalum cha waganga wa kienyeji wakitumika pia kutakatisha pesa nchi hii
🚮
 
Tunajua mbinu za yanga nje ya uwanja ni chafu na kali sana.
Tutaendelea kuona wachezaji bora wa Simba wakiumia na kujitibia muda mrefu,ama wakicheza chini ya kiwango kutokana na mbinu chafu za hii timu nje ya uwanja.

Hiyo damu ya kafara wanayotoa kwa kuchinja ng'ombe na kunywesha watu supu ni maelekezo ya kuzimu.

Simba mtaendelea kubananga pamoja na kusajiki MVP ila hamtaona ubora wake kama vile tu ilitokea kwa Aubin Kramo na wengine kuonekana wazito kisha mnawaacha.
Yanga ni zaidi ya timu.Ni kikosi maalum cha waganga wa kienyeji wakitumika pia kutakatisha pesa nchi hii
Wakati mnatimu nzuri hamkua na malalamiko haya ya kipuuzi, je yanga wakati huo hawakuwepo?

Tengenezeni tim nzuri ndo suluhu na si kulalamika.
 
Nikuulize swali
Tunajua mbinu za yanga nje ya uwanja ni chafu na kali sana.
Tutaendelea kuona wachezaji bora wa Simba wakiumia na kujitibia muda mrefu,ama wakicheza chini ya kiwango kutokana na mbinu chafu za hii timu nje ya uwanja.

Hiyo damu ya kafara wanayotoa kwa kuchinja ng'ombe na kunywesha watu supu ni maelekezo ya kuzimu.

Simba mtaendelea kubananga pamoja na kusajiki MVP ila hamtaona ubora wake kama vile tu ilitokea kwa Aubin Kramo na wengine kuonekana wazito kisha mnawaacha.
Yanga ni zaidi ya timu.Ni kikosi maalum cha waganga wa kienyeji wakitumika pia kutakatisha pesa nchi hii
Xvideo kipindi mnachukua ubingwa mfululizo hao Yanga hawakuwepo nchi hii
 
Vizingizio vingi sana za bahasha, uchawi na kudhamini timu nyingi hayo yote ni kwavile Yanga ni bora na Simba imeshuka ubora. Kipindi Simba inabeba makombe hakukuwa na malalamiko
 
Tunajua mbinu za yanga nje ya uwanja ni chafu na kali sana.
Tutaendelea kuona wachezaji bora wa Simba wakiumia na kujitibia muda mrefu,ama wakicheza chini ya kiwango kutokana na mbinu chafu za hii timu nje ya uwanja.

Hiyo damu ya kafara wanayotoa kwa kuchinja ng'ombe na kunywesha watu supu ni maelekezo ya kuzimu.

Simba mtaendelea kubananga pamoja na kusajiki MVP ila hamtaona ubora wake kama vile tu ilitokea kwa Aubin Kramo na wengine kuonekana wazito kisha mnawaacha.
Yanga ni zaidi ya timu.Ni kikosi maalum cha waganga wa kienyeji wakitumika pia kutakatisha pesa nchi hii
Kwa vile tumeshamalizana na Simba, imebaki zamu yako sasa; utaanza kwa kupost ujinga kwenye mitandao. Halafu baadaye utakuwa unaokotaokota makopo na kutembea barabarani uchi bila kujitambua.
 
Yanga wana miaka mitano hawajahi kupita gate kuuu kwenye mechi ya derby jamaa walozi wale.
 
Tunajua mbinu za yanga nje ya uwanja ni chafu na kali sana.
Tutaendelea kuona wachezaji bora wa Simba wakiumia na kujitibia muda mrefu,ama wakicheza chini ya kiwango kutokana na mbinu chafu za hii timu nje ya uwanja.

Hiyo damu ya kafara wanayotoa kwa kuchinja ng'ombe na kunywesha watu supu ni maelekezo ya kuzimu.

Simba mtaendelea kubananga pamoja na kusajiki MVP ila hamtaona ubora wake kama vile tu ilitokea kwa Aubin Kramo na wengine kuonekana wazito kisha mnawaacha.
Yanga ni zaidi ya timu.Ni kikosi maalum cha waganga wa kienyeji wakitumika pia kutakatisha pesa nchi hii
Mkuu hapo kwny kutakatisha pesa ya nch utaitwa utoe ushaid then hulipe hyo taass yaan yanga billion 50 ambayo mtauza Mali ya ukoo na isifke hata theluthi ya hyo pesa kwaiyo uktowa mada tafakr kwanza mkuu fanya bs vt kiprofessnal angalia baada ya! ako nako n kaushaur
 
Back
Top Bottom