Simba ijipange zaidi mchezo na Kaizer chief

Simba ijipange zaidi mchezo na Kaizer chief

Masterplaner

Senior Member
Joined
Jul 30, 2020
Posts
121
Reaction score
184
Kuelekea mchezo wa watani wajadi tarehe 8/5/2021 Na kwakuwa tuna mchezo mwingine muhimu zaidi na timu ya Kaizer chiefs kule Afrika kusini Na kwakuwa timu ya Yanga imekuwa na kawaida ya kucheza rafu nyingi inapokutana na Simba hii ya sasa nashauri watumike wachezaji wale tusio watumia kimataifa ili kuepusha majeruhi kuelekea kuvaana na Kaizer chiefs.badala yake watumike chikwende na wenzake naamini kabisa katika uwezo wao
 
Hakika umenena,Yanga kikosi "B"cha Simba kinawatosha sana tu.
Amme.
Ajibu.
Chkwendee.
Morisson.
Kenedy.
Gadiel.
Boco.
Kahata.
Nyoni.
Mkude Lion.
Dilunga.
Kakolanya.
 
Endeleeni kujifariji,simba tunaweka full kikosi,hamna cha kikosi B wala shemeji yake na kikosi B,kuumia ni mipango ya Mungu,Maana tutacheza soft touch hamna kugusana na mchezaji yoyote wa UTO[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hebu tupishe ewe mtopolo, nani asokujua kua u miongo mwa mwa wale hawaoni kundule fc?
 
Hakika umenena,Yanga kikosi "B"cha Simba kinawatosha sana tu.
Amme.
Ajibu.
Chkwendee.
Morisson.
Kenedy.
Gadiel.
Boco.
Kahata.
Nyoni.
Mkude Lion.
Dilunga.
Kakolanya.
Simba waoga kwa yanga,hawezi kuweka makande hayo.kama Simba Wana kikosi kipana wapange hizo fito.
 
wameanza kuogopa ahahaha! Mbumbumbu bhn
 
Zama zimebadilika.
Sasa NI SIMBA TU NDO HABARI YA AFRICA.
 
Ila kweli sio akili miqquissone aumie kwa sababu ya yanga huku wiki moja mbele ana game ya caf champions league quarter final ya kuingiza mabilioni kwa club
 
Back
Top Bottom