Simba ijitoe Ligi ya Mabingwa, ni aibu kubwa kufuzu kwa mpira ule

We jamaa una kisirani sana,sa kwanini ajitoe akati anapambna [emoji1787]
 
Kesho Jumatano ni siku ya wanawake😀😀
 
Yetu macho!!tatizo lenu mahaba yanazidi hali halisi na ajabu mkija kutolewa mtaanza tena kupiga kelele wakati timu mbovu.
 
Ujinga.
 
Acha WIVU utakuua
 
Yetu macho!!tatizo lenu mahaba yanazidi hali halisi na ajabu mkija kutolewa mtaanza tena kupiga kelele wakati timu mbovu.
Lini Simba ilikuwa nzuri ikafika nusu fainali? Acha ujuaji hata wakitolewa watarudi mwakani panapo majaaliwa
 
Maajabu ya Karne haya,
Yaani Kanoute na Mzamiru walioifikisha Simba hatua ya Makundi klabu bingwa afrika na mpaka sasa ikiwa nafasi ya pili katika kundi lake huku zikisalia mechi 2 tu wajifunze kwa Aucho mchezaji wa Yanga ambaye timu yake haijawahi kufuzu hatua hiyo tangu mwaka 1998 (Miaka 25 sasa) au Issa Ndala ambaye ameshindwa hata kuiwezesha azam kucheza hatua ya makundi ya kombe la walioshindwa??
 
Nimewapenda bure chama langu Simba humu kwny huu uzi...
Vivaa Simbaa
Huo ubovu ni namba mbili kwenye ligi ya nbc
Huo ubovu ni timu yenye magoli mengi kuliko timu zote NBc
Sema tuu kitu kikishasambaa na masikio yakizoea huaminisha hivyo...
Ila Simba sio mbaya..labda huo ubaya uipime Vs Raja ambayo kwny kundi imewabamiza wote..
 
Huyo Aucho asiepoteza pasi mbona timu yake ipo Loosers championship.
Ivi mmeangalia mpira vzr kwel? Zile gape kwenye eneo la kiungo kwa vile tumekutana na Viper tu ndo maana mmeona hata kama wakipoteza pasi hawawez kutuchapa bakora za maana, ngoja twende hatua inayofuata ndo utajua nachoongea ni nini? Waarabu kwa ujinga ujinga huu walitulisha 3 na zilikua zinafika 5, kama wasipobadilila wale viungo wetu wawili mtakuja kuniambia hapa aisee
 
Hivi kwa mpira huo wa jana Mungu saidia tumevuka hatua inayofuata tutamfunga nan kila aliyeongoza kundi au ndo tusubilie Aibu tu nje ndan
 
Nipe takwimu za mechi ya jana
 
Sio kwamba wewe ndio ujitoe kufuatiliafuatilia mambo yasiyokuhusu ya wanaume wa SIMBA SC?
 
Tutakapotokea ndio tutakapokuwa tunastahili

Kwahyo hilo suala la mapungufu ya uwanjani ni jukumu la kocha kurekebisha na hakuna anaepinga kuwa timu haina udhaifu

Shida mnaongea kama vile timu haikustahili kuwepo ilipo ila waliopo Loosers cup ndio walistahili

Ndugu zangu Champions League ushiriki timu za kibabe tu sio shirikisho

Ndio maana ukiangalia huku upande wa mabingwa timu inayoonekana dhaifu inaweza kuongoza kundi shirikisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…