Simba ikifungwa lawama ni za TFF

Simba ikifungwa lawama ni za TFF

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Timu imemaliza ya tatu ...hawakupaswa kabisa kucheza ngao ya jamii...ngapi ya jamii siku zote ni wa kwanza na WA pili...

Kulazimisha derby mapema wakati Simba wamesajili wapya Wengi na wanahitaji muunganiko kwanza...haikuwa sahihi...

Madhara yake ni mashabiki wanaweza susa tena kwenda uwanjani iwapo team itafungwa nyingi....

Au kocha kupoteza Imani au baadhi ya wachezaji kuanzia hata kuzomewa na Mashabiki kisa mechi moja ambayo haikuwa na ulazima...kabisa....

TFF acheni hii ya kugeuza ngapi ya jamii kuwa mechi nyingi na kuingiza wasiosatahili.... Kuingia

Simba wanahitaji mda kurudi kwenye level yake ...mechi hizi zenye ushabiki kuliko uhalisia hazifai mapema hivi...
 
Mapema yote hiii umeanza kuogopa ? Huna imani na gen z ?
 
Akili za Wallace Karia na Bodi yake ya Ligi huwa wanazijua wao wenyewe. Hata mimi sijaona mantiki ya kushindanisha timu nne!

Utaratibu wa zamani wa kumkutanisha Bingwa wa ligi kuu, dhidi ya yule wa shirikisho (au mshindi wa pili wa ligi kuu); ulikuwa unatosha kabisa. Shida ni pale wakishiba na yale matumbo yao, huwa wqnaza chochote tu, hata kama ni kitu cha kipuuzi.
 
Hili tushaliongelea sana humu ndani, TFF na bodi ya ligi wanawaza pesa tu kwenye kila kitu. Uongozi mbovu kuwahi kutokea hapa Tanzania
 
Wewe kweli utopolo.Man u ambae atacheza na Man city ngao ya jamii kamaliza nafasi ya ngapi EPL?
 
Timu imemaliza ya tatu ...hawakupaswa kabisa kucheza ngao ya jamii...ngapi ya jamii siku zote ni wa kwanza na WA pili...

Kulazimisha derby mapema wakati Simba wamesajili wapya Wengi na wanahitaji muunganiko kwanza...haikuwa sahihi...

Madhara yake ni mashabiki wanaweza susa tena kwenda uwanjani iwapo team itafungwa nyingi....

Au kocha kupoteza Imani au baadhi ya wachezaji kuanzia hata kuzomewa na Mashabiki kisa mechi moja ambayo haikuwa na ulazima...kabisa....

TFF acheni hii ya kugeuza ngapi ya jamii kuwa mechi nyingi na kuingiza wasiosatahili.... Kuingia

Simba wanahitaji mda kurudi kwenye level yake ...mechi hizi zenye ushabiki kuliko uhalisia hazifai mapema hivi...
Ni ilishapangwa wkt wadau wanahoji hii kuna baadhi walikaa kimya au ku support na hii ni mara ya pili si ya kwanza

NB : vipi wakishinda ?
 
Timu imemaliza ya tatu ...hawakupaswa kabisa kucheza ngao ya jamii...ngapi ya jamii siku zote ni wa kwanza na WA pili...

Kulazimisha derby mapema wakati Simba wamesajili wapya Wengi na wanahitaji muunganiko kwanza...haikuwa sahihi...

Madhara yake ni mashabiki wanaweza susa tena kwenda uwanjani iwapo team itafungwa nyingi....

Au kocha kupoteza Imani au baadhi ya wachezaji kuanzia hata kuzomewa na Mashabiki kisa mechi moja ambayo haikuwa na ulazima...kabisa....

TFF acheni hii ya kugeuza ngapi ya jamii kuwa mechi nyingi na kuingiza wasiosatahili.... Kuingia

Simba wanahitaji mda kurudi kwenye level yake ...mechi hizi zenye ushabiki kuliko uhalisia hazifai mapema hivi...
Mmeanza visababu
 
Mpira ni burudani na karaha.
 
Timu imemaliza ya tatu ...hawakupaswa kabisa kucheza ngao ya jamii...ngapi ya jamii siku zote ni wa kwanza na WA pili...

Kulazimisha derby mapema wakati Simba wamesajili wapya Wengi na wanahitaji muunganiko kwanza...haikuwa sahihi...

Madhara yake ni mashabiki wanaweza susa tena kwenda uwanjani iwapo team itafungwa nyingi....

Au kocha kupoteza Imani au baadhi ya wachezaji kuanzia hata kuzomewa na Mashabiki kisa mechi moja ambayo haikuwa na ulazima...kabisa....

TFF acheni hii ya kugeuza ngapi ya jamii kuwa mechi nyingi na kuingiza wasiosatahili.... Kuingia

Simba wanahitaji mda kurudi kwenye level yake ...mechi hizi zenye ushabiki kuliko uhalisia hazifai mapema hivi...
Hujielewi wewe kabisa...Siku hizi mpira umeingiliwa sana
 
Timu imemaliza ya tatu ...hawakupaswa kabisa kucheza ngao ya jamii...ngapi ya jamii siku zote ni wa kwanza na WA pili...
Haijaanza leo, ni kwa kuwa umechelewa kuanza kufuatilia soka. Ngao ya Jamii ilipoanza, washindani walikuwa niBingwa wa Ligi vs Bingwa wa FA (bila kujali amekuwa wa ngapi katika ligi). Msimu wa 2019/2020, Ngao ya Hisani ilikuwa kati ya Simba na Namungo, mchezo uliopigwa pale Sumbawanga. Lakini katika msimu huo, Simba ilikuwa ni Bingwa wa Ligi na Namungo ilikuwa katika nafasi ya Nne. Tiketi ya Namungo kucheza Ngao ya Hisani haikuwa nafasi yake katika ligi, bali ni nafasi yake katika kombe la FA. Tatizo la mashabiki wengi wa Yanga bado linadumu miaka kwa miaka, yaani kuilalamikia TFF hata kwa mambo ya kijinga

1723125399902.png
 
Mi naona ni vizuri kuendelea na huu utaratibu wa timu 4 kwani timu zetu ni giants sikuhizi Africa kwaio ladha utakayokutana nayo kwenye ngao ni utakayokutana na Al ahly,Raja,Zamalek,Wydad,Mamelodi na Timu zingine kubwa katika klabu bingwa na Shirikisho kwaio Tff wapo sahihi
 
Back
Top Bottom