Right Way In Light
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,322
- 3,461
Simba leo mbona anashinda hilo liko waziKama wakishinda leo na wakacheza Fainali itakuaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba leo mbona anashinda hilo liko waziKama wakishinda leo na wakacheza Fainali itakuaje?
Wewe ni mpumbavu, mleta mada The Boss ni Simba lialia, vitoto vya juzi JF hamuwezi kumjuwa The BossHaijaanza leo, ni kwa kuwa umechelewa kuanza kufuatilia soka. Ngao ya Jamii ilipoanza, washindani walikuwa niBingwa wa Ligi vs Bingwa wa FA (bila kujali amekuwa wa ngapi katika ligi). Msimu wa 2019/2020, Ngao ya Hisani ilikuwa kati ya Simba na Namungo, mchezo uliopigwa pale Sumbawanga. Lakini katika msimu huo, Simba ilikuwa ni Bingwa wa Ligi na Namungo ilikuwa katika nafasi ya Nne. Tiketi ya Namungo kucheza Ngao ya Hisani haikuwa nafasi yake katika ligi, bali ni nafasi yake katika kombe la FA. Tatizo la mashabiki wengi wa Yanga bado linadumu miaka kwa miaka, yaani kuilalamikia TFF hata kwa mambo ya kijinga
View attachment 3064636
Huna akili hii ni backup id, nipo hapa tangu Jambo forum.
Mimi sizungumzii yako, nazungumzia yangu. FYI, mimi ni moja wa members wa Wapwa wa JFHuna akili hii ni backup id, nipo hapa tangu Jambo forum.
Ungekuwa na akili The Boss ni Simba lialia.
Ujinga uliocomment ndio maana nikakwambia wewe hujui lolote, tuliopo JF kitambo tunajuwana.Mimi sizungumzii yako, nazungumzia yangu. FYI, mimi ni moja wa members wa Wapwa wa JF
Hata Manara ni SimbaUjinga uliocomment ndio maana nikakwambia wewe hujui lolote, tuliopo JF kitambo tunajuwana.
The Boss ni Simba lialia.
Nani amebisha?Hata Manara ni Simba