Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafikiri Simba ni kama Yanga iliyopigwa 3-0 na Buolzdad?Ninaposema vilabu vyetu vijiandae kimkakati robo fainali klabu bingwa Afrika huwa namaanisha viache mpira wa mazoea kufosi matokeo ya papatu papatu, vicheze soka la viwango kiufundi
Mfano leo Simba wamelambishwa juice yenye upupu sababu ya kucheza mechi bila mipango kila mtu anabutua butua hakuna muunganiko
Wakiingia kwa style hii mbele ya Al Ahly au Mamelod Sundowns kichapo watachopewa mtakuja kunisimulia wenyewe humu
Nko nmekaa pale
Tumia rugha nyepesi isiyo kirihisha.Siku hiyo chama mavi yatagonga chupi
Yanga na ubora wao wakala 3-0 na Misri wakala chuma 1-0 na Al Ahly. Katika timu zilizofungwa magoli mengi champion league Yanga imo😀😀😀😀simba ni kama gari bovu kila siku gereji
Yanga na ubora wao wakala 3-0 na Misri wakala chuma 1-0 na Al Ahly. Katika timu zilizofungwa magoli mengi champion league Yanga imo😀😀😀😀simba ni kama gari bovu kila siku gereji
Tangu umezinduka baada ya kuzimia akili yako haijakaa sawa.Siku hiyo chama mavi yatagonga chupi
Yule Baba Isaya alitaka kuififisha hii team, tangu kaondoka wanaubonda bhn.Ila kusema ukweli kikosi cha Tanzania Prisons kimeimarika sana. Yaani wanacheza total football! Hongera nyingi kwa mwalimu anayeifundisha hii timu.
Acha kuota, tuambie kama hizo timu mulishawahi kuzitoa kwenye hatua ya mtoano?Unafikiri Simba ni kama Yanga iliyopigwa 3-0 na Buolzdad?
Simba ilifungwa na Yanga 5-1 na cha ajabu ilitoka na Al Ahly 2-2 na Misri 1-1 na cha kuhuzunisha Yanga ilipigwa 1-0.
Yanga hana uwezo wa kuifunga Al Ahly, Wydad na Mamelod ila Simba anaweza 100% na Yanga kwa timu kubwa huwa anaziogopa sana.😀😀😀
Kwanini uongelee Simba?Acha kuota, tuambie kama hizo timu mulishawahi kuzitoa kwenye hatua ya mtoano?
Dah! Kwani kwenye robo final hii kuna uwezekano wa YANGA vs Ahly au vs Wydad?Kwanini uongelee Simba?
Ongelea Yanga vs Mamelod
Yanga vs Al Ahly au Yanga vs Wydad.
Mashabiki wa Yanga wanashangaza sana 😀😀😀😀😀