Simba ikimfunga power Dynamo mje mnipige vibao

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]unaota wewe. Timu zote za TZ yan simba na yanga zinavuka hii hatua ikiwezekana zote kwenda hata robo fainali. Tunza haya maneno yangu
Yanga atavuka .... smoothly
 
Mimi ni Yanga dam!! Hilo halina ubishi. Ila nina imani timu zote 2 (Yanga na simba) zitafuzu hatua ya makundi. Hofu yangu ipo kwa Singida Fountain Gaye pakee.

Maana ushindi wa nyumbani wa goli 1 - 0! Kwa Waarabu ni ushindi mwembamba sana. Yaani wasipokuwa makini wataangushiwa mvua ya magoli.
 
Unapatikana wapi mkuu?
 
Itategemea KIBAO cha wapi,kama cha kwenye MAKALIO hayo YES nitakuja maana yanaonekana malaini sana hayo,yanafaa kwa matumizi
 
simba wayashinda tu
 
Aahaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…