Msimu wa pili huu anatafuta kurudi kwenye kiwango?Mkuu kama kibu akiwa kwenye kiwango chake,huwa ana kazi kubwa sana pale simba ni basi tu anapitia maswaibu ya saikolojia
Huyu Nerson Kapama ni raia wa wapi?Yaleyale ya kina Nelson kapama na victor Akpan..
Tukubaliane Kuna wachezaji wakucheza timu za kawaida na wachezaji wa kucheza timu kubwa..
Sio kila mchezaji akiwika hizi timu za kawaida basi anaweza kuja ku perform Simba na Yanga
Mfano mzuri ni muombewa uraia Kibu Denis.Yaleyale ya kina Nelson kapama na victor Akpan..
Tukubaliane Kuna wachezaji wakucheza timu za kawaida na wachezaji wa kucheza timu kubwa..
Sio kila mchezaji akiwika hizi timu za kawaida basi anaweza kuja ku perform Simba na Yanga
Nassoro kapamaHuyu Nerson Kapama ni raia wa wapi?
Hahaaaa....Ufudu kina lake la kuzaliwa au la utani
Hahaaaa....
Hivi kwa mtu aliyekaa Zanzibar maana ya ufudu inaweza kurandana na nini?
kwa mida za ndani,nashon na bajana ni watu na nusuNaam sospeter bajana Ile middle ni chuma steel sana yan kama ahly ni aliu dieng