Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Punguza ushabiki maandaziMimi ni simba lakin hii yanga[emoji23][emoji23]..Hapan ndugu zangu..kuna lile jamaa cjui linaitwa boka..linakimbia hatari...Yule mchezaji au mwizi[emoji1787][emoji1787]..ni halali asiwe anatumika kwenye viwanja vidogo maana mnamnyima raha..Jamaa beki na mbele..yaani anaanza mpira nyuma alafu kdg unamuona kwenye box anamwaga maji[emoji23][emoji1316][emoji1316][emoji1316]
Huyo basi kwakuwa siiamini timu yangu naomba moderator kwaakili x
Zangu timamu ....mnipige bani ya siku 3 kama Simba itashinda Leo ....timu mbovu sana hii[emoji24]View attachment 3102682
U hali ganiMtani kwani mtashinda leo? 😂😂
Pumzisha kishundu.Kwann Mkuu
Mtoto kautaka acha apeweKupatwa kwa Labani og. 😂
Tena Sana. Laban hii ni mara pili🤩Kumbe mods wapo serious na hili swala
Safi sana 😂😂👏Afadj
User is banned, and can not reply to this thread📌📌🔨💪🏿
Wametembea naye kiulalo😂
Naona wamemtunza kabatiniTena Sana. Laban hii ni mara pili🤩
Kwamba jf itazima?? Kuna watu mnajua kujipa umuhimu msiokuwa naoNikipigwa ban mbona siku hiyo patachimbika [emoji16]
Tupumue na mashudu yake anayoandika🙄Naona wamemtunza kabatini
Hana baya Mwananchi huyoTupumue na mashudu yake anayoandika🙄
Nyinyi wenyewe mmemchongea, afungiwe. Msingewaita mods. Ilibaki kidogo ninase namimi 🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu ungemstua mwananchi mwenzako mapema, ona sasa kala TOFALI la shingo 😂😂😂
Una bahati sana, hukutaka vidole vikusaliti akili kubwa. Huyu Laban alienda mile kidogo akasahau kuwa watu wako serious na hawana masihara kabisa 😂😂😂Nyinyi wenyewe mmemcjongea, afungiwe. Msingewaita mods. Ilibaki kodogo ninase namimi 🤣🤣🤣🤣🤣
By the way unaendeleaje mkuu kwa sasa baada ya ile operation?? Na pole sana asee.Nyinyi wenyewe mmemcjongea, afungiwe. Msingewaita mods. Ilibaki kodogo ninase namimi 🤣🤣🤣🤣🤣
Mmmh mimi? Utakuwa umenichanganya na Leejay Mkuu. Anaendelea vizuri na karudi jukwaani kama mwanzo.By the way unaendeleaje mkuu kwa sasa baada ya ile operation?? Na pole sana asee.
Modearator aliyekupa BAN ninahisi atakuwa ni kijana mtiifu wa Mangungu! Yaani utani tu, yeye kafanya kweli!!Mimi ni simba lakin hii yanga[emoji23][emoji23]..Hapan ndugu zangu..kuna lile jamaa cjui linaitwa boka..linakimbia hatari...Yule mchezaji au mwizi[emoji1787][emoji1787]..ni halali asiwe anatumika kwenye viwanja vidogo maana mnamnyima raha..Jamaa beki na mbele..yaani anaanza mpira nyuma alafu kdg unamuona kwenye box anamwaga maji[emoji23][emoji1316][emoji1316][emoji1316]
Huyo basi kwakuwa siiamini timu yangu naomba moderator kwaakili x
Zangu timamu ....mnipige bani ya siku 3 kama Simba itashinda Leo ....timu mbovu sana hii[emoji24]View attachment 3102682