Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha, Vipi Mkuu, Ulijisikiaje goli la tatu lilipoingia?[emoji23][emoji23]
msyuuuu😚😚....Simba hii weka mbali na wachambua mbuzi...[emoji23][emoji23]
Halafu why wakupe ban ya siku 3? Hawa moderator bana yani mtu unaiomba mwenyewe wanashindwa kukupa unachostahiliAcha roho mbaya mkuu
Sio roho mbaya Hilo ni kama funzo ukiwa na furaha au hasira jitahidi sana kucontrol mawazo yako maana unaweza fanya jambo la hovyo afu hukutarajia au hukujipangaAcha roho mbaya mkuu
AAah si ulitaka mwenyewe lakini?Acha roho mbaya mkuu.....wewe ni mwanamke ...you don't deserve it
Wanashabikia timu ki muhemko...Mshamba unaahidi upuuzi! Utopolo wajinga wengi sana!
Upigwe nyingine mkuu?😃Mimi ni simba lakin hii yanga[emoji23][emoji23]..Hapan ndugu zangu..kuna lile jamaa cjui linaitwa boka..linakimbia hatari...Yule mchezaji au mwizi[emoji1787][emoji1787]..ni halali asiwe anatumika kwenye viwanja vidogo maana mnamnyima raha..Jamaa beki na mbele..yaani anaanza mpira nyuma alafu kdg unamuona kwenye box anamwaga maji[emoji23][emoji1316][emoji1316][emoji1316]
Huyo basi kwakuwa siiamini timu yangu naomba moderator kwaakili x
Zangu timamu ....mnipige bani ya siku 3 kama Simba itashinda Leo ....timu mbovu sana hii[emoji24]View attachment 3102682