Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa. Lol.Jirani, nasikia eti wewe ndiyo ulikuwa unampampu aseme hivyo 😜
Ile Jersey ya Msimbazi niliyosema nakununulia kama zawadi ipo tayari.Hahahaaa. Lol.
Exhaust yako inaliwa soonMimi ni simba lakin hii yanga[emoji23][emoji23]..Hapan ndugu zangu..kuna lile jamaa cjui linaitwa boka..linakimbia hatari...Yule mchezaji au mwizi[emoji1787][emoji1787]..ni halali asiwe anatumika kwenye viwanja vidogo maana mnamnyima raha..Jamaa beki na mbele..yaani anaanza mpira nyuma alafu kdg unamuona kwenye box anamwaga maji[emoji23][emoji1316][emoji1316][emoji1316]
Huyo basi kwakuwa siiamini timu yangu naomba moderator kwaakili x
Zangu timamu ....mnipige bani ya siku 3 kama Simba itashinda Leo ....timu mbovu sana hii[emoji24]View attachment 3102682
Mimi ni simba lakin hii yanga[emoji23][emoji23]..Hapan ndugu zangu..kuna lile jamaa cjui linaitwa boka..linakimbia hatari...Yule mchezaji au mwizi[emoji1787][emoji1787]..ni halali asiwe anatumika kwenye viwanja vidogo maana mnamnyima raha..Jamaa beki na
Aibu kwenumbele..yaani anaanza mpira nyuma alafu kdg unamuona kwenye box anamwaga maji[emoji23][emoji1316][emoji1316][emoji1316]
Huyo basi kwakuwa siiamini timu yangu naomba moderator kwaakili x
Zangu timamu ....mnipige bani ya siku 3 kama Simba itashinda Leo ....timu mbovu sana hii[emoji24]View attachment 3102682
Kuna Uzi aliandika apigwe ban msimu mzima WA mashindano ya CAFActive Hongera . Ikifika Thursday achiliwe kama ali vyo ahidi aje kula matunda ya uhuru.
Kuna Uzi alisema msimu mzima WA mashindano ya CAF.Hongereni Mods wa JF kwa kuwatimizia members wenu matakwa yao... jamaa aliomba Ban ya muda gani ?
Basi apewe kama alivyotakaKuna Uzi alisema msimu mzima WA mashindano ya CAF.
Mod ni mwanalinyasi